robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Ni mtoto wa miaka 7 tu siyo 9.Huu ujasiri wa huyu mtoto ni muujiza.
Nimeona hiyo clip Sky News.Mtoto bado umblical code ilikuwa attached kwa Mama yake akiwa lifeless [emoji24][emoji24]Kuna mama amekutwa kafa ila kajifungua mtoto.
Mtoto kaokolewa mzima
Mungu ana maajabu[emoji119]Ni mtoto wa miaka 7 tu siyo 9.Huu ujasiri wa huyu mtoto ni muujiza.
Jamani[emoji24]Nimeona hiyo clip Sky News.Mtoto bado umblical code ilikuwa attached kwa Mama yake akiwa lifeless [emoji24][emoji24]
[emoji119][emoji119]Kuna mama amekutwa kafa ila kajifungua mtoto.
Mtoto kaokolewa mzima
Watoto ni malaika[emoji119][emoji119]
Mungu huwa ana maajabu na watoto.
Sijui kwanini watoto huwa Wana maajabu kwenye vitu vingi.
Peresisheni ea wanakusikia mkuu.TANZANIA TUPELEKE TEAM YA UOKOZI .
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Waliojitoa kupeleka msaada Turkiye na Syria katika uokozi wa janga la tetemeko la ardhi lililotokea hivi majuzi sio kwamba nchini kwao wamejitosheleza bali ni katika kuonyesha mshikamano na jamii ya kimataifa , tupeleke hata waokozi 10 tu kutoka kitengo cha maafa , hii itatuma ujumbe mkubwa sana duniani, pili watapata uzoefu na kujifunza mengi sana jinsi ya kukabiliana na majanga , nchi nyingi zilizopeleka teams za uokoaji wametumia fursa hiyo ili kupata uzoefu na kujifunza kwa wengine jinsi ya kukabiliana na majanga.
Nawasilisha.
I can't imagineVifo vimevuka 9,000
Watu zaidi ya 100,000 hawajulikani walipo
Bado watu wamefukiwa
Misaada mbali mbali inaendelea kutua