robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Mungu awaone wasyria. Vita miaka 10+ leo tetemeko linafagia vilema na manusra waliookoka kwa mabomu na risasi!
Majeruhi wa tetemeko akifurukuta baridi haimuachi!! Ee Mungu ikikupendeza wasamehe waja hawa.
Majeruhi wa tetemeko akifurukuta baridi haimuachi!! Ee Mungu ikikupendeza wasamehe waja hawa.