Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
TobaaaWataalamu hudai tetemeko la kwanza huwa si baya, matetemeko yafuatayo ndio mabaya maana hudondosha majengo yaliyolegezwa.
Mungu atuepushie mbali Tanzania maana tutarudi ujimani na itatuchukua miaka 50 kusimama...
Mungu ni wa rehema.
Nchi zetu hizi za kimaskini tukipigwa lol sijui.
Mungu aepushie mbali.