Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Hadi media za nje zimeweka lkn mamlaka yetu haijaweza kusoma kwenye mfumo ni kwa kiwango gani
 
Uchumi wa Kati una uhusiano gani na mambo ya tetemeko. Nonsense kabisa!
huwezi elewa nachomaanisha. nchi haiwezi kuwa uchumi wa kati na haina acces to correct and timely information in advance. kwa maana TMA Kazi yake ni nini? utabiri wa hali ya hewa maana yake nini? unajua madhara ya earthquakes? unafikiri nazungumza siasa ama? pathetic fool wewe QUOTE="Iselamagazi, post: 36329333, member: 55522"]
Uchumi wa Kati una uhusiano gani na mambo ya tetemeko. Nonsense kabisa!
[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…