Hata mimi nmewazaKumbe matetemeko ndo inakuaga hivi . Yani limepiga kidogooo tu ila nimepanic balaa ..sipati picha yale makubwa inakuaje?
Mungu atunusuru
[emoji23][emoji23]Ndugu wananchi leo ni kulala kisungurasungura huwa yana tabia ya kurudia.......aftershock....
Hata mimi nmewazaKumbe matetemeko ndo inakuaga hivi . Yani limepiga kidogooo tu ila nimepanic balaa ..sipati picha yale makubwa inakuaje?
Mungu atunusuru
[emoji23][emoji23]Ndugu wananchi leo ni kulala kisungurasungura huwa yana tabia ya kurudia.......aftershock....
Kumbe matetemeko ndo inakuaga hivi . Yani limepiga kidogooo tu ila nimepanic balaa ..sipati picha yale makubwa inakuaje?
Mungu atunusuru
NimecheekaaaHadi Ccm wameogopa pamoja nakua na Dola haaaahaaaa
Hizi bangi mmmh.Mtaalamu wa Geologia anasema hili tetemeko lililopita leo likielekea nchi Jirani. Limetokea Beirut kwenye Ule Mlipuko Bandarini. Likawa linapita chini kwa chini kuelekea huko mbele litakalokomea.
Wadau ndo tufahamu kuwa milipuko tu hii ya kawaida inakuwa hivi je Atomic au Nyuklia Bom litakuaje? Tusije shabikia kabisa haya mabomu.
Nyie mnakumbuka ule mlipuko wa mabomu mbagala hadi Ubungo kulicheza? Mnakumbuka mlipuko wa mabomu Balozi ya USA Dar ilitikisika?
Haya...msije sema hamkuambiwa.
TMA kazi yao imekuwa kuangalia movie ofisini tuuMkae mbali pembezoni mwa bahari huwezi jua kijacho baada ya masaa 4 au 6 Mwenyezi Mungu apishilie mbali TSUNAMI lakini tahadhari ni muhimu
... wanasubiria Geological Survey of America aka Mabeberu watujuze epicentre ilikuwa wapi maeneo ya Dar. Yap wametoa updates tayari; epicentre ilikuwa SE of Dar es Salaam with magnitude of 5.1 Ristcher scale.Kuna tetemoko la ardhi limepita huko maeneo ya kitunda kama kuna mtu amelisikia tu naomba mamlaka ya Hali ya hewa kutoa tamko
TMA kazi yao imekuwa kuangalia movie ofisini tuu
YapWangari kweli uko Rusumo??