Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Acha bangi, dakika moja unaijua wewe?
 
juzi niliota nyumba yetu imeanguka kwa mtikisiko nikaanza kulia, kustuka ni ndoto kumbe chaajabu leo nasikia habari za tetemeko
 
Niliona sio hali ya kawaida mkuu,kufika nje ndio napata habari ni tetemeko
basi wewe kichwa chako kiko fasta sana, kitu cha sekunde chache umweza kutafsiri ninini na kuzima jiko na kukimbia ndani ya sekunde chache hizo hizo, hongera aisee!!
 
Mpaka sasa Serikali haijasema kitu ipo kimya.. Bunju huku balaa
 
Wapendwa watumishi ama ndio unyakuo na wengine tumeachwa "behind" nini!? Wachungaji na manabii kuna yeyote aliyetoweka? Jamani wenye imani tuzidi kuhabarishana. Mimi binafsi kwenye muda kama saa mbili na robo nilihisi kama mara mbili mtetemo fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…