Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Acha bangi, dakika moja unaijua wewe?Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.
Limedumu kwa dakika kama moja hivi.
Vipi huko kwenu ?
nilikuwa ndani ya gari ndiyo aLimepita labda ulikua umelala ... sisi mpaka tumetoka ndani ya nyumba tumehisi gorofa linataka kutuangukia limetingishika kabisa
nilikuwa ndani ya gari ndiyo aLimepita labda ulikua umelala ... sisi mpaka tumetoka ndani ya nyumba tumehisi gorofa linataka kutuangukia limetingishika kabisa
nilikuwa ndani ya gari ndiyo aLimepita labda ulikua umelala ... sisi mpaka tumetoka ndani ya nyumba tumehisi gorofa linataka kutuangukia limetingishika kabisa
Tumelikamata lipo polisi hapaBuza bado
basi wewe kichwa chako kiko fasta sana, kitu cha sekunde chache umweza kutafsiri ninini na kuzima jiko na kukimbia ndani ya sekunde chache hizo hizo, hongera aisee!!
Buza ni California iliyochangamkahivi kumbe kunasehemu kweli inaitwa buza huko dar na kuna watu kabisa
Bangkok ni lugha ya kiluguru ikiwa na maana ya MatomboWe si ulsemaga upo bangkok?!?,
basi wewe ni noma, pole na hongera lakini.Niliona sio hali ya kawaida mkuu,kufika nje ndio napata habari ni tetemeko
We si ulsemaga upo bangkok?!?,
Dar yote limepita.Mikocheni halijapita
Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Wapendwa watumishi ama ndio unyakuo na wengine tumeachwa "behind" nini!? Wachungaji na manabii kuna yeyote aliyetoweka? Jamani wenye imani tuzidi kuhabarishana. Mimi binafsi kwenye muda kama saa mbili na robo nilihisi kama mara mbili mtetemo fulani.Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro