Ndio nyumbani hukonimefanya kazi sec kwemkabara hapo
Hivi kweli visiwa vya Zanzibar vimeshikiliwa na nini huko chini siku tetemeko kubwa likipiga kisiwa kitapotea wote mtakuja Bara.Zanzibar pia limepita
Hapo limepitia angani.Mbezi halijapita
Sijui limepita shortcut ipi hadi kufka moro maana njia ya moro inapita mbezi
Asa sijui limepita njia gan@ππππ
Hahahaha we jamaa mtu wa fursa sanani muda muafaka wa kuwavuta geto na kuwala kimasihara sasa
Nenda kakate gogo utapona tu.. vumilia ndo maisha hayo..πNimeogopa hadi sasa nahisi kutetemeka
[emoji23][emoji23]Hahahaha! Wee jamaa bwanaKishindo cha awamu ya 5 hicho..
Saa mbili na robo ushaanza kugegeda?Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.
Limedumu kwa dakika kama moja hivi.
Vipi huko kwenu ?
PoleDah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema βBaba wa Taifa anajigeuza!... β Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
Kweli aisee, nipo mitaa hii watu hawana habari kabisa.Mbezi halijapita
Sijui limepita shortcut ipi hadi kufka moro maana njia ya moro inapita mbezi
Asa sijui limepita njia gan@ππππ
Hahahaha eti Baba wa taifa anajigeuza kwani alizikwa dsm.Sijaskia Mimi hilo tetemeko kabisa.Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema βBaba wa Taifa anajigeuza!... β Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]