Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema “Baba wa Taifa anajigeuza!... “ Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimeogopa hadi sasa nahisi kutetemeka
Nenda kakate gogo utapona tu.. vumilia ndo maisha hayo..😂
Si huwa mnalisikia tu likipita mikoani haya sasa Mambo yamekuwa Mambo..
 
Mwananyamala koma koma hapa limepita kwa Kasi ya ajabu

One love
 
Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.

Limedumu kwa dakika kama moja hivi.

Vipi huko kwenu ?
Saa mbili na robo ushaanza kugegeda?
 
Nimeshuhudia kitanda nilicholalia kikitetemeka pamoja na vifaa vya chumbani vikitetemeka. Tunaomba taarifa zaidi toka mamlaka husika
 
Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema “Baba wa Taifa anajigeuza!... “ Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
Pole
 
Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema “Baba wa Taifa anajigeuza!... “ Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha eti Baba wa taifa anajigeuza kwani alizikwa dsm.Sijaskia Mimi hilo tetemeko kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom