Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Pia soma:
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Muda huu saa 20:16
Tetemeko la ardhi limepita Hapa mkoani morogoro "
Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.
Limedumu kwa dakika kama moja hivi.
Vipi huko kwenu ?
Pia soma:
- Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Morogoro: Tetemeko la Ardhi limepita kati ya saa 12:31 - 12:32 mchana
- Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21 mchana
- Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania
- Tetemeko la ardhi la takribani sekunde Moja limepita mkoani Arusha na Manyara
- Tetemeko la ardhi latokea Dodoma, Singida
- Morogoro: Tetemeko la Ardhi limepita kati ya saa 12:31 - 12:32 mchana
- Tetemeko la Ardhi Kintinku
- China: Tetemeko la Ardhi laua Watu 116
- Afghanistan yakumbwa na tetemeko la ardhi la tatu ndani ya wiki moja
- Mikoa 11 iliyoko hatarini kukumbwa na Tetemeko la Ardhi
- Tetemeko la ardhi latokea Dodoma, Singida