The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Itakuwa oldonyo lengai megan imechanganya chini na lavae kububujika.Wasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Mwamposa hajapita hapo hivi karibuni?Kwakweli nimelisikia vizuri . Hili ni tetemeko kubwa kwakweli sio kama matetemeko mengine yaliopita kipindi cha nyuma.
Tetemeko limeniulia Ng'ombe yanguWasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.
Ng'ombe amekufaje tena mkuu ?Tetemeko limeniulia Ng'ombe yangu
Ametetemeshwa akapata strokeNg'ombe amekufaje tena mkuu ?
Aiseee mkuu huko chuga salama lakini.Nikweli Arusha imepita..nilikuwa hapa maeneo ya Ngulelo nimesikia
Sikujua hili, shukrani kwa taarifa.Nimekuwa nikiona mara nyingi pale wanasayansi wanaposema Dunia inakuwa mbali na jua (aphelion)July 3-6 ndio Hali hii hutokea Hadi pale jua likikaribia Dunia (perihelion) 2-4 January Hali ya tetemeko hupungua
Jemedari kasharusha picha?Wasalaam,
Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?
Wasalamu.