Tetemeko mjini Arusha

Tetemeko mjini Arusha

Wasalaam,

Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?



Wasalamu.
Itakuwa oldonyo lengai megan imechanganya chini na lavae kububujika.
 
Wasalaam,

Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?



Wasalamu.
Tetemeko limeniulia Ng'ombe yangu
 
Nimesikia na wakenya wanalalama.
1721156276512.png
 

Attachments

  • 1721156179558.png
    1721156179558.png
    24.9 KB · Views: 1
Nikweli Arusha imepita..nilikuwa hapa maeneo ya Ngulelo nimesikia
Aiseee mkuu huko chuga salama lakini.

Nimepamiss sana hapo ngulelo.

Kuna chimbo opposite na kituo cha polisi hapo nilikua nakuja pata nyama choma.

Ile njia ya kuteremkia moshono.
 
Tetemeko limeni okoa na uzinzi apa picnic..nme kumbuka mwili wangu ni ekaru la bwana .
Nimepitia hapo mida ya saa kumi na mbili kupasha mwili moto mkuu 😂😂
 
Nimekuwa nikiona mara nyingi pale wanasayansi wanaposema Dunia inakuwa mbali na jua (aphelion)July 3-6 ndio Hali hii hutokea Hadi pale jua likikaribia Dunia (perihelion) 2-4 January Hali ya tetemeko hupungua
Sikujua hili, shukrani kwa taarifa.
 
Ni kweli mimi Dodoma huwa nayasikia Mengi muda mwingine huwa nadhani ni timbo linavuruga,, ila nikiingia katika Google huwa napata majibu Matetemeko Mengi huwa na Magnitude Ndogo.
 
Wasalaam,

Wandugu, ni kweli nimepata beer kadhaa za safari lakini sidhani Kama nimelewa kushindwa kusikia hiki nilichosikia around 8:33 up to 8:34 pm almost 30 seconds kumetokea tetemeko la kutisha maeneo ya , Siwandeti, Ilboru na maeneo ya jirani mjini Arusha, Kuna mtu mwengine aliye shuhudia hili?

Wasalamu.

Jemedari kasharusha picha?
 
Back
Top Bottom