Hii ipo na itaendelea kuwepo nahisi wa kumuomba Mungu ni wewe ukiolewa lisikupate, i was thinking the same before this kind of situation caught me, yaani hata mtu akilalama jaman mume wangu kafanya hivi nitampa mawazo na pole ila nikienda pembeni najiambia mwenyewe hivi mwanaume anawezaje kumfanyia hivi mkewe! wangu hawezi fanya hivi, na akifanya siwezi vumilia kamwe nitaondoka, miaka ikaenda liliponipata hata kusimulia sikusimulia mwanzoni aibu niliyosikia.Cause i was so proud of him nikiwa na ma fle