Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

Mwenyewe niliuza chuma kutoka karagwe na tulikua tunauzia remera kigali, shinyanga na geita na kigoma hadi mpanda na sumbawanga wanyarwanda humiliki ardhi kubwa ya kilimo tena walinunua kihalali japo wako rwanda na kila mavuno wao hua na uhakika wa chakula na kuuza congo ya mashariki, mbona niliwahi kuandika hapa majuha yakapotezea note: mtutsi anayeishi tanzania ana haki na uraia wa rwanda pia na kwao hupiga kura kama mnyarwanda nashangaa serikali inapinga uraia pacha wakati watusi wana uraia wa tanzania na rwanda ukiwacheck viongozi wa bongo unaona hawa mazezeta kweli, maana mtu yuko runzewe, katoro, geita, ushirombo, kahama, mwanza, ngara, kakonko, kasulu, kibondo na ana uraia wa rwanda safi kabisa wao huku hua nawachek kama uhamiaji nawaona mazezeta tu
Yani kumbe kuna uraia pacha huku serikali haina habari?
 
Ni uongo kwamba madini ya kanda ya ziwa hayawanufaishi wananchi wake?

Mfano Kahama wanasifika kwa mapato ila barabara hapo mjini ni vituko...

Huo ndio uzalendo unaoutaka?
Wewe ulitaka madini yanufaishe mikoa husika tu? Wasio na madini watelekezwe?
 
Kwanini nyie msiuze moja kwa moja huko Apple ? Au hamjui address zao mpitie Google ?

Kama mchimbaji mdogo anapata faida kuwauzia watu wa Rwanda kuliko kuuza Bongo fahamu kuna tatizo na huenda tatizo hilo sio Mnyarwanda bali kikulicho kinguoni mwako...
 
Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo.

Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania.
Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda kimagendo kwa siri kubwa sana. Jengo la ununuzi lipo jijini Kigali na Rushwa hutumika pakubwa kuwazima mamlaka za mipakani.

Inadaiwa wafanyabiashara hawa hufanya biashara nyingine halali kati ya kanda ya ziwa na Rwanda huku lengo fiche ikiwa ni madini ya Tanzania.

Haikubainika ikiwa kampuni ya APPLE ambayo huyanunua madini hayo kutoka serikali ya Rwanda kama inayo habari kuwa madini hayo hutoka nchini Tanzania.

Source: Wachimbaji wadogo Geita na Shinyanga.
Acheni kupoteza watu maboya,madini yanaibwa DRC.
Wewe utakuwa umetumwa wewe! Ila wazungu sio watu wazuri.Apple anajaribu kujisafisha wakati ananunua madini ya damu
 
MTU anauza pale kwenye maslahi.
Bukoba wahaya wanakatazwa kuwauzia waganda kahawa.
Pemba wanakatazwa kuwauzia wafanyabiashara karafuu.
Hivi Ni kwanini?
 
Sijaona kosa hapo. Maana wanaonunua ni watanzania wanaenda kuuza Rwanda kimagendo. Sasa mwenye kosa ni nani?
 
Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo.

Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania.
Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda kimagendo kwa siri kubwa sana. Jengo la ununuzi lipo jijini Kigali na Rushwa hutumika pakubwa kuwazima mamlaka za mipakani.

Inadaiwa wafanyabiashara hawa hufanya biashara nyingine halali kati ya kanda ya ziwa na Rwanda huku lengo fiche ikiwa ni madini ya Tanzania.

Haikubainika ikiwa kampuni ya APPLE ambayo huyanunua madini hayo kutoka serikali ya Rwanda kama inayo habari kuwa madini hayo hutoka nchini Tanzania.

Source: Wachimbaji wadogo Geita na Shinyanga.
Huyu kagame kiboko wake alikua JMK
 
Back
Top Bottom