Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

Tetesi: Rwanda yanunua madini kwa siri nchini Tanzania na kuyauza tena kwa kampuni ya Apple

Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo.

Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania.
Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda kimagendo kwa siri kubwa sana. Jengo la ununuzi lipo jijini Kigali na Rushwa hutumika pakubwa kuwazima mamlaka za mipakani.

Inadaiwa wafanyabiashara hawa hufanya biashara nyingine halali kati ya kanda ya ziwa na Rwanda huku lengo fiche ikiwa ni madini ya Tanzania.

Haikubainika ikiwa kampuni ya APPLE ambayo huyanunua madini hayo kutoka serikali ya Rwanda kama inayo habari kuwa madini hayo hutoka nchini Tanzania.

Source: Wachimbaji wadogo Geita na Shinyanga.
Ngojeni tu kuichekea Rwanda kama hajatuanzia M23 yetu. Kagame ni mtu hatari jamani na antumiwa na makampuni waizi wa madini zetu.
 
Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo.

Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania.
Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda kimagendo kwa siri kubwa sana. Jengo la ununuzi lipo jijini Kigali na Rushwa hutumika pakubwa kuwazima mamlaka za mipakani.

Inadaiwa wafanyabiashara hawa hufanya biashara nyingine halali kati ya kanda ya ziwa na Rwanda huku lengo fiche ikiwa ni madini ya Tanzania.

Haikubainika ikiwa kampuni ya APPLE ambayo huyanunua madini hayo kutoka serikali ya Rwanda kama inayo habari kuwa madini hayo hutoka nchini Tanzania.

Source: Wachimbaji wadogo Geita na Shinyanga.
Msilalamiko. Nchi yenu inakopesheka.
Maza atawatafutia mikono ya WB.
 
Acha umbea ..biasharano chain..wewe unachimba muuzie mnunuzi na mnunuzi nae anaenda kumuuzia mnunuzi mwingine na mnyororo wa thamani huwa hivyo mpk unamfikia mlaji wa mwisho. Kwenye maisha haya huwezi kuhodhi kila kitu
Wewe utakua mnyarwanda labda. Kinachodaiwa hapa madini yanatoka nje ya nchi kwa magendo. Kama wanunuzi wa Rwanda wanakuja kihalali kwenye masoko yetu kununua madini hakuna shida. Tatizo madini yanatoka kimagendo kama mpango wa serikali ya Rwanda. Tanzania serikali haipati ushuru wowote wala hela ya kigeni zozote. Kisha rwanda inauza madini hayo kama yametoka nchini kwao na kupata hela za kigeni wao. Hii ni sawa na wanavyofanya kwa congo. Tena kule kivu wanamiliki migodi kibabe kwa kuweka jeshi lao wakijidai kuna uasi wa M23 kisha wanapeleka rwanda madini kwa ndege ndogo zinazotua maeneo wanayamiliki kijeshi na kupeleka madini rwanda kisha kuyauza nje kama yametoka rwanda.
 
Shida ipo wapi kama wananunua kihalali na kuuza.

Halafu Apple hawana production plant ya kununua madini, hizo shughuli za kutengeneza parts wana outsource.

Na watu wanao watengenezea chips za Apple wanatengeneza na za kampuni zingine pia zinazotengeneza simu, laptop na TV’s.

Kwenye soko la rare metals Tanzania ni mchezaji mdogo sana hana impact duniani.
 
Kizimkazi mwenyewe hayupo Yuko majuu anapiga misele tu uko. Taifa la Tanganyika liko wazi pakubwa.




KAZI ni kipimo Cha utu
 
Kwamba Apple wakafate dhahabu hapo Rwanda wakati huko Marekani ipo yakutosha tu
 
Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo.

Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni watanzania.
Wanachofanya ni kununua almasi na dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuiuza nchini Rwanda kimagendo kwa siri kubwa sana. Jengo la ununuzi lipo jijini Kigali na Rushwa hutumika pakubwa kuwazima mamlaka za mipakani.

Inadaiwa wafanyabiashara hawa hufanya biashara nyingine halali kati ya kanda ya ziwa na Rwanda huku lengo fiche ikiwa ni madini ya Tanzania.

Haikubainika ikiwa kampuni ya APPLE ambayo huyanunua madini hayo kutoka serikali ya Rwanda kama inayo habari kuwa madini hayo hutoka nchini Tanzania.

Source: Wachimbaji wadogo Geita na Shinyanga.
Serikali ya Tz inajua kupiga marufuku tu ya bidhaa za Tz. Ilishindwa kuwasiliana na apple?
 
Kesho jumatano petrol, diesel na mafuta ya taa yatapaa ama yatashuka bei?
 
Nilitamani nimpate mununuzi nimuulize. Ijulikane pia Kagame ana mkono mrefu sana. Hivyo natakiwa kuwa makini.
kiukweli hapo lazima kuna maslahi makubwa kwa soko la Rwanda.
akuna sababu ya kurisk mzigo wako uliopata kwa tabu na gharama kuuza kinyemela nje.
 
Mwenyewe niliuza chuma kutoka karagwe na tulikua tunauzia remera kigali, shinyanga na geita na kigoma hadi mpanda na sumbawanga wanyarwanda humiliki ardhi kubwa ya kilimo tena walinunua kihalali japo wako rwanda na kila mavuno wao hua na uhakika wa chakula na kuuza congo ya mashariki, mbona niliwahi kuandika hapa majuha yakapotezea note: mtutsi anayeishi tanzania ana haki na uraia wa rwanda pia na kwao hupiga kura kama mnyarwanda nashangaa serikali inapinga uraia pacha wakati watusi wana uraia wa tanzania na rwanda ukiwacheck viongozi wa bongo unaona hawa mazezeta kweli, maana mtu yuko runzewe, katoro, geita, ushirombo, kahama, mwanza, ngara, kakonko, kasulu, kibondo na ana uraia wa rwanda safi kabisa wao huku hua nawachek kama uhamiaji nawaona mazezeta tu
Uzi upo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha umbea ..biasharano chain..wewe unachimba muuzie mnunuzi na mnunuzi nae anaenda kumuuzia mnunuzi mwingine na mnyororo wa thamani huwa hivyo mpk unamfikia mlaji wa mwisho. Kwenye maisha haya huwezi kuhodhi kila kitu
Kwa nini iwe kimagendo? Huoni Tanzania inapoteza kodi yake?
 
Mwenyewe niliuza chuma kutoka karagwe na tulikua tunauzia remera kigali, shinyanga na geita na kigoma hadi mpanda na sumbawanga wanyarwanda humiliki ardhi kubwa ya kilimo tena walinunua kihalali japo wako rwanda na kila mavuno wao hua na uhakika wa chakula na kuuza congo ya mashariki, mbona niliwahi kuandika hapa majuha yakapotezea note: mtutsi anayeishi tanzania ana haki na uraia wa rwanda pia na kwao hupiga kura kama mnyarwanda nashangaa serikali inapinga uraia pacha wakati watusi wana uraia wa tanzania na rwanda ukiwacheck viongozi wa bongo unaona hawa mazezeta kweli, maana mtu yuko runzewe, katoro, geita, ushirombo, kahama, mwanza, ngara, kakonko, kasulu, kibondo na ana uraia wa rwanda safi kabisa wao huku hua nawachek kama uhamiaji nawaona mazezeta tu
Wewe utakuwa mnyarwanda, ni lini Tanzania inaruhusu uraia pacha?
 
Back
Top Bottom