Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
We kweli mgonjwa. Nashangaa unajituhumu elimu ya Chuo Kikuu. Kwa waliokuwa hawaelewi, kuna vilaza kibao waliopitia Mzumbe. Mmoja wao ni wewe uliyeishia kufundishwa na watu wanaojifunza kufundisha higher learning na bado unajipiga piga kifua. Loser.
SIKILIZA DADAYANGU CHROMIUM , MUCCoBS KUNA KOZI ZA CERTIFICATE KWA HIO HAO MATUTORIAL NDIO WANATUMIKA KUFUNDISHA KOZI ZA CERTIFICATE, TUTORIAL HAFUNDISHI DEGREE, LABDA NIKUULIZE SWALI UNAFIKIRI MUCCoBS HAMA WATU WENYE PhD(DR) NA MAPROFESA?