paco anthony
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 516
- 831
Mwamba wa taarifa za ukweli.....Sasa elie mpanzu kashatua Simba ngoja ucheki mavitu vitu1. Kiungo mkabaji Kelvin Nashon anatakiwa Young Africans
2. Kiungo Mshambuliaji Foday Trawally anatakiwa na Simba SC
3. Larry Bwalya anawindwa na Singida Black Stars na Pamba Jiji
4. Kiungo raia wa DRC, Harvey Onoya anatakiwa na Yanga