Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Simba wanatakiwa Kuachana na wachezaji wafuatao.
KATI YA DIRISHA DOGO NA DIRISHA KUBWA.

1. Ayoub Lakred.
2. Valentino Nouma.
3. Karabue Chamoe.
4. Fabrice Ngoma.
5.Agustine Okejepha.

_____________________

6.Charles Ohua.
7. Joshua Mutale
Valentino huyu ambaye ameshaanza kumsaidia Zimbwe? We jamaa vp

Hao wachezaji uliowataja hapo bado wana contribute vya kutosha as of now ambapo timu haijalmaliza hata mwaka mmoja tokea waletwe.

1731433408887.png
 
Nilikuwa na maongezi mafupi na Injinia Hersi (hata mimi ni injinia kwa hiyo tunaelewana sana) akaniambia kuwa yanga imeamka na sasa hivi dozi za tano tano zinaanza tena kwa sababu ya "YANGA BINGWA."
Mhn! Hapo ulitaka tu kutuambia huwa unazungumza naye.

Otherwise hakuna cha maana mulichoongea hapo.

Labda story za engineering.
 
Mhn! Hapo ulitaka tu kutuambia huwa unazungumza naye.

Otherwise hakuna cha maana mulichoongea hapo.

Labda story za engineering.
Tuliongea muhtasari wa mikakati ya Yanga, siyo engineering.
 
Sijaelewa. Alipokwambia “Yanga sasa imeamka”, ilikuwa imelala?
Inaonekana tatizo lako ni kuwa na misamiati michache ya kiswahili. Kuamka unakuelewa kwa maana moja tu ya kutoka usingizini (wake up). Hujui kuamka kwa maana ya nyingine ya kuwa "on the alert."
 
Inaonekana tatizo lako ni kuwa na misamiati michache ya kiswahili. Kuamka unakuelewa kwa maana moja tu ya kutoka usingizini (wake up). Hujui kuamka kwa maana ya nyingine ya kuwa "on the alert."
Sasa ndo umeongea nini?
 
Abdelhay forsy : huyu jamaa anajua sana kama tutampata na akawaka+mpanzu nae akawaka nawaonea huruma sana wakina bravos,stade malien,cs sfaxien,cs constantine na wenzao. Shida ni moja tunaweza kumpata? Tupo tayari kutoa hela? Kutoboka mifuko? Mo fanya kweli mnyaturu wewe.
 
Abdelhay forsy : huyu jamaa anajua sana kama tutampata na akawaka+mpanzu nae akawaka nawaonea huruma sana wakina bravos,stade malien,cs sfaxien,cs constantine na wenzao. Shida ni moja tunaweza kumpata? Tupo tayari kutoa hela? Kutoboka mifuko? Mo fanya kweli mnyaturu wewe.
Labda wakatae kumuachia ila hela siyo issue
 
Back
Top Bottom