Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Wanauhitaji wa attacking midfielder ?Na kweli simba ijitahid sana kua siriaz nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanauhitaji wa attacking midfielder ?Na kweli simba ijitahid sana kua siriaz nae.
MutaleIbrahima Seck anakuja kuchukua nafasi ya nani?
Kocha Mkuu Mpya!??kama ni hivyo kocha mpya si hua anakuja na benchi lake?Kocha Abdelhamid Moalin atakuwa kocha msaidizi wa Young Africans akimsaidia kocha mkuu mpya
Mbona mnatutusha tena jamaniMwarabu. Moalin atakuwa mkalimani wake. Kama Kaze kwa Nabi
Issue ni lugha broKocha Mkuu Mpya!??kama ni hivyo kocha mpya si hua anakuja na benchi lake?
Kawaida.Mbona mnatutusha tena jamani
Wala usijali MkuuIssue ni lugha bro
Yanga wamepindua meza?Lawi to Yanga?
Wanataka kumtemaWhat's wrong with Fabrice Ngoma?
Inaelekea kupindukaYanga wamepindua meza?
YesWanataka kumtema
Avatar yako imeniacha mdomo wazi.Foday trawally ni omar jobe mwingine huyo jamaa tangu september 10 hana timu na hajawahi kucheza shirikisho wala klabu bingwa hana uzoefu na mpira afrika kacheza ligi za ulaya vijijini huko.
Lawi baada ya yale mapicha picha wa nini mkuu kwenye timu yetu? Kama mtu alikua ana mapenz ya kweli na timu angeweka msimamo tangu mwanzo kwamba mimi naenda simba baaas, huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko.Inaelekea kupinduka
Mbona Mpanzu tumempokea mkuu...Lawi baada ya yale mapicha picha wa nini mkuu kwenye timu yetu? Kama mtu alikua ana mapenz ya kweli na timu angeweka msimamo tangu mwanzo kwamba mimi naenda simba baaas, huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko.
We ni mwanamke au mwanaume?Avatar yako imeniacha mdomo wazi.
Viongozi wa simba hawamtaki kawatia lossMbona Mpanzu tumempokea mkuu...
Mimi nafikiri tungejitahidi kumpata Lawi ili tuwe na kikosi kipana.
Umri nadhani ni tatizo, hakimbii sana kama wengine,nishati yake ipo chini,hafiki kwa wakati kwenye matukio. Wapo sahihi wamteme tu wamlete kiungo mwingine mdogo.