Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheriUmri nadhani ni tatizo, hakimbii sana kama wengine,nishati yake ipo chini,hafiki kwa wakati kwenye matukio. Wapo sahihi wamteme tu wamlete kiungo mwingine mdogo.
Na Benchika si ndo yupo pale??Kocha Gamond na msaidizi wake wanaweza kuelekea JS kabylie ya Algeria
NdiyoNa Benchika si ndo yupo pale??
Kocha Gamond na msaidizi wake wanaweza kuelekea JS kabylie ya Algeria
Kwani Benchikha ameshatimuliwa?Kocha Gamond na msaidizi wake wanaweza kuelekea JS kabylie ya Algeria
AtatimuliwaKwani Benchikha ameshatimuliwa?
Hicho ni kiwango cha kutafutia mkataba mpyaSema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheri
Halafu dirisha dogo tusisajili mchezaji wa kigeni? Coz sasa hivi simba tunahitaji namba 10 upgrade ya ahoua. Yes dk hz za mwisho kaubonda mwingi but age tatizo halafu hatuna shida ya no 6 wala 8.Sema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheri
Hamna kaka. Mimi ni kijana wa masikini. Niko shambani hukuKaka huongeggi uongo. Itakua wewe ni Mo
Nimeona Breaking News ya Gongowazi kule nikakimbilia huku chapu kukupa maua yako, tangu dirisha kubwa la usajili kaka ulitupa taarifa nyingi za ukweli... saluti man.Hamna kaka. Mimi ni kijana wa masikini. Niko shambani huku
Asante sana kakaNimeona Breaking News ya Gongowazi kule nikakimbilia huku chapu kukupa maua yako, tangu dirisha kubwa la usajili kaka ulitupa taarifa nyingi za ukweli... saluti man.
jamaa yetu ni mtu wa ndani kabisa 😁Kaka huongeggi uongo. Itakua wewe ni Mo
😅jamaa yetu ni mtu wa ndani kabisa 😁
anatupa za motomoto,,
akisema kitu basi 90% ✓