Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Kuna uwezekano kati ya kocha Sead Ramovic au Kheireddine Madoui kuchukua nafasi Miguel Gamond, Young Africans
 
Umri nadhani ni tatizo, hakimbii sana kama wengine,nishati yake ipo chini,hafiki kwa wakati kwenye matukio. Wapo sahihi wamteme tu wamlete kiungo mwingine mdogo.
Sema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheri
 
Inaonekana Miguel Gamond ndiye amelazimisha kuondoka Young Africans Kwa kuwa amepata ofa nzuri kutoka Uwarabuni. Matokeo ya hivi karibuni na vitendo vya utovu wa nidhamu ni kati ya mbinu hizo
 
Sema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheri
Hicho ni kiwango cha kutafutia mkataba mpya
 
Sema kwa kiwango alichokionyesha mpaka sasa toka apate nafasi, naiona nafasi yake Simba japo sio ya game zote wala dakika 90, hatuna kiungo wa aina yake, tungemuacha hadi next season ndio tumpe mkono wa kwaheri
Halafu dirisha dogo tusisajili mchezaji wa kigeni? Coz sasa hivi simba tunahitaji namba 10 upgrade ya ahoua. Yes dk hz za mwisho kaubonda mwingi but age tatizo halafu hatuna shida ya no 6 wala 8.
 
Nimeona Breaking News ya Gongowazi kule nikakimbilia huku chapu kukupa maua yako, tangu dirisha kubwa la usajili kaka ulitupa taarifa nyingi za ukweli... saluti man.
Asante sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…