Basi naona ana chuki kubwa sana na simba. Kwanini karibia kila mchezaji muhim simba anaemtaka wao wanakuja kuharibu? Ila usajili wao hauna maana zaidi ya kufanya kwa mihemkoMhhh! Ndugu yangu, nadhani kigogo wa serikali mwenye dhamana na hela zetu
Asante Kwasi alimpokonya namba msimu mzima 2017/2018 na msimu 2018/2019 waliugawana mpaka Kwasi alipopata injury ya gotiHuyu asipokuwa makini baada ya msimu mmoja atatemwa.
Upande wa Hussein ni mgumu kushindania namba maana jamaa haumii na anaweza cheza mechi zote za msimu kwa kiwango karibu kilekile.
Pia inasadikika kiasili hajambo ila sina uhakika.
Kilichomkuta Asante Kwasi kila mtu anajua...Asante Kwasi alimpokonya namba msimu mzima 2017/2018 na msimu 2018/2019 waliugawana mpaka Kwasi alipopata injury ya goti
Basi wacheze wao hadi wawe vibabu wanaotembea na mkongojoKilichomkuta Asante Kwasi kila mtu anajua...
Ile Injury haikua ya kumstaafisha mpira...
Tuwaombe tu hawa vijana wetu, kapombe na Hussen wanapowaharibu wenzao basi wajitahidi kujituma...
Siku zote udhaifu wa Simba umekua kwa Hussen ila kila anapoletwa mtu bora anaharibiwa...
Inaumiza.
Injury ya goti ni ngumu sana kupona na mchezaji akarudi kwenye form.Kilichomkuta Asante Kwasi kila mtu anajua...
Ile Injury haikua ya kumstaafisha mpira...
Tuwaombe tu hawa vijana wetu, kapombe na Hussen wanapowaharibu wenzao basi wajitahidi kujituma...
Siku zote udhaifu wa Simba umekua kwa Hussen ila kila anapoletwa mtu bora anaharibiwa...
Inaumiza.
Kuliko Yusuph Kagoma bora wangemchukua Bwana Mdogo Kelvin Nashon Naftal. Ni kiungo mkata umemeYusuph Kagoma kasinya Simba sc
Hussein usiku halaliHuyu asipokuwa makini baada ya msimu mmoja atatemwa.
Upande wa Hussein ni mgumu kushindania namba maana jamaa haumii na anaweza cheza mechi zote za msimu kwa kiwango karibu kilekile.
Pia inasadikika kiasili hajambo ila sina uhakika.
Mkopo unamuhusuKwa hiyo Duchu kuna uwezekano wa kutolewa kwa mkopo tena?.
Nimesikia Baba Ester na Mwenda wameongezewa kandarasi, kwa hiyo Duchu atakuwa backup ya upande upi?.
Ni propaganda hizo bro! Hakuna beki Simba kanyanganywa na Singida. Simba ina target zake msimu huu na zote zilishatiki kitamboBasi naona ana chuki kubwa sana na simba. Kwanini karibia kila mchezaji muhim simba anaemtaka wao wanakuja kuharibu? Ila usajili wao hauna maana zaidi ya kufanya kwa mihemko
Sasa sababu ya umbumbumbu wao tumekosamchezaji simba..au nipe updates za beki anajiita au jina lake linaanza na "TRA" ...
Azam fc aka lambalambaMtasingwa huyu anakipiga timu gani?
Ni m bongo ama wanje?
Mkuu uko sahihi ila Hussen ana mbinu mbadala.Injury ya goti ni ngumu sana kupona na mchezaji akarudi kwenye form.
Kapombe alipata injury ya goti pia hakucheza msimu mzima wa 2018/2019 je tumlaumu Nicolas Gyan kuwa alimroga Kapombe ?
Salim Mbonde naye alirogwa na Tshabalala ? Method Mwanjali naye alirogwa na Tshabalala ?Mkuu uko sahihi ila Hussen ana mbinu mbadala.
Sio kitu kibaya ila ajitahidi kuisadia timu.
Imani zako tuuKilichomkuta Asante Kwasi kila mtu anajua...
Ile Injury haikua ya kumstaafisha mpira...
Tuwaombe tu hawa vijana wetu, kapombe na Hussen wanapowaharibu wenzao basi wajitahidi kujituma...
Siku zote udhaifu wa Simba umekua kwa Hussen ila kila anapoletwa mtu bora anaharibiwa...
Inaumiza.
Mhhh!Mkuu uko sahihi ila Hussen ana mbinu mbadala.
Sio kitu kibaya ila ajitahidi kuisadia timu.
Lol! tuna back up!?Thank you Aishi Manula
KatoroLol! tuna back up!?
Mkuu nimecheka sana.Huyu asipokuwa makini baada ya msimu mmoja atatemwa.
Upande wa Hussein ni mgumu kushindania namba maana jamaa haumii na anaweza cheza mechi zote za msimu kwa kiwango karibu kilekile.
Pia inasadikika kiasili hajambo ila sina uhakika.