Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

.
 
Ndo raha ya mpira wa bongo🀣🀣🀣 mi naona waendelee tu kujaza masifa
 
Naona boss kakasirika.sana. [emoji23] naskia kuna mtu kaitwa dubai. Ni nani huyo mkuu ?
😁 Anataka kulipa kisasi,, mambo ya BM yanataka kujitudia? Wote tupeleke jina 😁😁
 
Vp feisal salum atasinya simba kweli?
 
Simba ina mkurugenzi wa Ufundi ??? au Riasi wa heshima ndio mkurugenzi wa Ufundi
Kwa miaka 4 iliyopita Simba ilikuwa inafanya makosa makubwa kwenye usajili mkielezwa mlikuwa mnabisha
now angalieni msije mkaendelea kufanya makosa yaleyale
Ndio muda wada wao wa kutamba huu, waache tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…