Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Unammonitor Msaliti? Acheni kuharibu carrier za watu. Wewe umejipachika uchambuzi hapa Nani kakusonga wakati kuna Taarifa unalisha watu Matangopori?
Duh..we mchawi, nani kakuita hapa? Kumbe kuna watu mnaumia sana roho kisa jamaa kuleta habari tena sio kwamba ni kweli ni tetesi tu,
hizo roho za kichawi na za kimaskini. Badilika ewe mchawi.
 
Kibu denis kunani tena
Mlimpa uraia mtu mpumbavu asie na shukrani na anayejiona staa na kuwaona wengine wajinga.

Wewe umepewa pesa zote za mkataba na mshahara, gari na mengineyo.

Sasa hatua ya kwanza kama una adabu laazma uripoti eneo lako la kazi..sasa kama kuna timu nyingine umeona wamekupa ofa au wameleta ofa imekufikia na ni kubwa, ustaarabu ni kumuita wakala wako waje waongee na uongozi ili taratibu zifuatwe, kama unavunja mkataba na kurudisha pesa zawatu au timu inayokutaka wanunue mkataba uliokua nao, mbona ni mambo marahisi sana yanayohitaji akili na weledi, mnaagana basi. Sasa hizi ngonjera hata viongozi wa simba ni wapumbavu mana wana entertain upumbavu
 
Unammonitor Msaliti? Acheni kuharibu carrier za watu. Wewe umejipachika uchambuzi hapa Nani kakusonga wakati kuna Taarifa unalisha watu Matangopori?
Umemvunjia heshima sana huyu jamaa. Sisi wana JF wengi tunamtambuaa kuwa jamaa ni inner circle kabisa ya Simba. Possibly jamaa ni Mo kabisa huyu.
 
Duh..we mchawi, nani kakuita hapa? Kumbe kuna watu mnaumia sana roho kisa jamaa kuleta habari tena sio kwamba ni kweli ni tetesi tu,
hizo roho za kichawi na za kimaskini. Badilika ewe mchawi.
Siumii chochote Ila kumsagia kunguni Mtu ambaye anajitafuta ni zaidi ya uchawi.
 
Taarifa zilizopo ni juu ya kuumia Kwa Ayoub Lakred na atakaa nje si chini ya wiki nne. Hii inaweza kuwa fursa ya Manula kurejeshwa kikosini, kusajili mzawa au kumsajili kipa mwingine toka nje.
 
Taarifa zilizopo ni juu ya kuumia Kwa Ayoub Lakred na atakaa nje si chini ya wiki nne. Hii inaweza kuwa fursa ya Manula kurejeshwa kikosini, kusajili mzawa au kumsajili kipa mwingine toka nje.
Hili nilitarajia...

Kipa wa kigeni mbele ya wazawa wawili.
 
Taarifa zilizopo ni juu ya kuumia Kwa Ayoub Lakred na atakaa nje si chini ya wiki nne. Hii inaweza kuwa fursa ya Manula kurejeshwa kikosini, kusajili mzawa au kumsajili kipa mwingine toka nje.
Salim
Meshack
 
FB_IMG_1721914896715.jpg
 
Taarifa zilizopo ni juu ya kuumia Kwa Ayoub Lakred na atakaa nje si chini ya wiki nne. Hii inaweza kuwa fursa ya Manula kurejeshwa kikosini, kusajili mzawa au kumsajili kipa mwingine toka nje.
Manula kashampiga misumari Ayoub. Wamwache tu aende zake, Salim na mwenzie wanatosha
 
Back
Top Bottom