TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uteuzi wa leo ni mwiba mchungu sana kwa bavicha
BAVICHA inawahusu nini? Yanayoumia ni ma-CCM lialia, watu wametoka zao upinzani wanakuja kula shavu yenyewe yapo tu! Johnthebaptist imekula kwake tena!
 
Mtatiro amebaki Tunduru huyu jamaa hafai kabisa bora angehama Daah.
 
Nadhani vijana wa Ccm ndio wanapaswa kujiuliza mara mbili mbili! Yaan mtu akitoka upinzani akija Ccm ni lulu! Hii inadhihirisha kuwa upinzani kuna vichwa na huko Ccm wengi ni vilazer!!
vilazer hua na mawazo mafupi kama yako, haya nambie ni mwana ccm gani alikuja chadema na hakua lulu ili uyaprove matap tap yako uloandika hapa?

kwa taarifa yako namba chafu zote zilizokijenga chadema zimetoka ccm.
 
Karibu 70% ya Madisiii Wapya ni Waislam[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2095][emoji2095][emoji91]
 
Kakangu ambaye Ni Kanali Wa Jeshi Kateuliwa Kuwa Disiii Pia, Mkewake Ni Mpemba
 
wakuu yule jamaa aliyegombeaga ubunge na ndugai kisha akapigwa rungu na ndugai na kuzimia,kisha kumpooza ccm wakampa ukuu wa wilaya ya meatu.

naona kwenye teuzi hayupo,kapewa kitengo gani?

anaitwa dkt chilongani!
 
Kwanini ufuatilie maisha ya mtu ambaye pengine wala hakujui?
Unaonekana umefarijika sana ila kumbuka hilo halibadili chochote kwenye uhalisia wa maisha yako binafsi.
 
Back
Top Bottom