TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Reasoning za kipuuzi mjeshi mmoja mwenye kitambi anasaidia nini hapo?
😲🤣

Nadhani ili aweze kufanya "coordination" ya maamuzi ya haraka katika mambo yao kuhusu kutulinda Watanzania!
 
[emoji44][emoji1787]

Nadhani ili aweze kufanya "coordination" ya maamuzi ya haraka katika mambo yao kuhusu kutulinda Watanzania!
DC yeyote hata jokate no mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya
 
 
Kweli Mkuu hapo Rais kapotea kabisa RSO na DSO vetting vibaya.
Ulitaka APATIE kwa kuwateua akina nani?!!!

Tuanzie hapo kwanza.....

Mkuu inaonekana imekuuma sana....si kwa kuzirudia comments hizo mara 20 kila thread 🤣🤣

#KaziInaendelea
 
DC yeyote hata jokate no mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya
Sawa....

Ila hivi mh.Jokate anaweza kufanya maamuzi ya KIJESHI haraka sana kwa kuvicommand VIKOSI vya JWTZ na kuvipangia mikakati?!!!

#KaziIendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…