Kasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
Wewe ni mwanaume?Joketi kapelekwa Temeke, mliokua mnamsagia kunguni na yule chizi mwenzenu twitter aibu kwenu
kama ningekuwa mie ndio huyo jamaa, yaan kuanzia mida hii ningeanza kufanya yangu mapema sanaaa,Na katoka kupokea Mwenge leo na kusifiwa sana kwa mradi wa matofali[emoji1787]
Jerry Muro?Kasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
vipi yule DC wakigamboni na yy kanusurika ?Mwingine atakayefurahi ni Shabiby baada ya "mtesi" wake, DC wa Gairo kutupwa nje😀
Aisee...na wa Temeke kaenda wapi
iyo hapoView attachment 1823918View attachment 1823917View attachment 1823919View attachment 1823921View attachment 1823920View attachment 1823922View attachment 1823923View attachment 1823924Wadau nasikia mkeka wa Mama (Bi,Mkubwa) umetoka leo embu list zije
KinondoniAisee...na wa Temeke kaenda wapi