TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Maingizo mapya ya Samia nimeyaelewa, tasnia ya habari inaonekana ina kismati sana kwenye hizi nafasi. A. Mwaipaya (ITV/Radio One), G. Zakaria (TBC fm), Fatma Nyangasa from Azam Media.

- Mwaipaya akitoka kwenye msiba wa baba yake akatulie kwenye v8.

Huko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…