GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kinondoni Kwake Msela GENTAMYCINE.Aisee...na wa Temeke kaenda wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinondoni Kwake Msela GENTAMYCINE.Aisee...na wa Temeke kaenda wapi
Meaning??Both Team to Score.[emoji23]
Huko kapelekwa Fatma Nyangasavipi yule DC wakigamboni na yy kanusurika ?
HahahahahNa katoka kupokea Mwenge leo na kusifiwa sana kwa mradi wa matofali[emoji1787]
Asubiri Watendaji wa Tarafa labda.Anko Paschal vipi jamani?
Inaitwa demotionUyu herry james aliepangwa ubungo ndio Yule Yule wa UVCCM au Ni mwingine
Nasubiria comments za wale waliokua wakisema Jokate kabwebwa na Shujaa JPM waje watuambie anavyobwebwa na Ironlady SSHJoketi kapelekwa Temeke, mliokua mnamsagia kunguni na yule chizi mwenzenu twitter aibu kwenu
Huyo kama hii teuzi imempita ndo basi tena atafte shughuli nyingine tu.Anko Paschal vipi jamani?
JualikaliMwaipaya
Fatma Nyangasa
Nassari
Msando
Kalist lazaro waula
Albert ni mwana CCM mwenye kadi yake ya Chama cha mapindunziAlbert msando kaupata Vipi uteuzi kutoka ccm?