TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Komanya kaliwa kichwa.

Jerry Murro kahamishiwa Ikungi.

Waliokuwa CHADEMA wameula.
Mama angemuacha jamaa hapo hapo...
Alishaweza kuendesha vizuri tu,

Anajichanganya sana na watu huyu jamaa

Wiki moja sasa imepita tangu aje shule ya seliani, kuzindua vyoo vya wanafunzi

Na wala hakuwa na makuu pia hakuja ki kikuu ni yeye na Dereva wake ...
 
Back
Top Bottom