TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Nilitegemea malisa na vijana wengine wenye uwezo wangekuwemo lkn yy ndo anawajua anaoweza kufanya nao kazi vizuri kasesera chaliiiiiii

Malisa GJ hawawezi kumuonga ndio maana hajateuliwa ,wote hao waliopewa udc jua kama mwandishi wa habari basi alikuwa anajipendekeza kwa chama tawala au kusifia chama tawala na hao wapinzani waliopewa udc basi tambua walifanya biashara ya utumwa tangia awali hoivyo walikuwa kwenye wishlist wakisubiri teuzi.

Sasa mtu kama Malisa GJ ambaye alambi watawala viatu na bado hajanunuliwa unategemea atateuliwa?
 
Wahamiaji wote
å Lijualikali
å Moses Machali
å Nassari Joshua
å Dr. Mashinji nk nk wamewatimulia vumbi hatari la kufa mtu wafia chama cha CCM kwenye mitandao, kina;
å Yehodaya
å Crimea
å Paschal Mayalla
....na wote wanaobadili ID kila mara hapa ili kujificha lakini maandishi yao yakiwafuata kwa nyuma...
 
Malisa GJ hawawezi kumuonga ndio maana hajateuliwa ,wote hao waliopewa udc jua kama mwandishi wa habari basi alikuwa anajipendekeza kwa chama tawala au kusifia chama tawala na hao wapinzani waliopewa udc basi tambua walifanya biashara ya utumwa tangia awali hoivyo walikuwa kwenye wishlist wakisubiri teuzi.

Sasa mtu kama Malisa GJ ambaye alambi watawala viatu na bado hajanunuliwa unategemea atateuliwa?
Wana makapi yao ,mpinzani origional hawezi kuteuliwa
 
Back
Top Bottom