Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weye unayajua!?In politics, hatutupani,, lazima tulindane… mama kumteua siyo justification kua hakua favoured enzi hizo… kuna mengi usiyoyajua!
IkungiNgongo kapangiwa wapi !.
Nilitegemea malisa na vijana wengine wenye uwezo wangekuwemo lkn yy ndo anawajua anaoweza kufanya nao kazi vizuri kasesera chaliiiiiii
👍👍Haiba, elimu na uzoefu wa kujijamii na jamii
Weye unayajua!?In politics, hatutupani,, lazima tulindane… mama kumteua siyo justification kua hakua favoured enzi hizo… kuna mengi usiyoyajua!
Anaitwa nani?Mwingine atakayefurahi ni Shabiby baada ya "mtesi" wake, DC wa Gairo kutupwa nje[emoji3]
Fanya konection nipate mkaa huo na. Mimi 😁Hahahahaaa Mkeka umechanika wazee wa vetting hawajaniona tatizo niko porini sana kuchoma mkaa.
👍👍👋👋👊👊Hongera sana Jokate
IkungiJerry Muro?
KinondoniAisee...na wa Temeke kaenda wapi
Msando ni mpinzani🙄?Msando kote amegombea na kushindwa nafasi anayoweza kushinda ni TEUZI tu mama kawaingiza vijana wa upinzani kwenye serikali . vijana wa ccm sujui wanayumba wapi
🤣Weye unayajua!?
Mama kachemka sanaUyu herry james aliepangwa ubungo ndio Yule Yule wa UVCCM au Ni mwingine
Swahiba😂😂😂
Ni chuki tu, hamna kingineKwani Pascal Mayalla aliomba kuteuliwa? Au ilikua lazima ateuliwe?
Wana makapi yao ,mpinzani origional hawezi kuteuliwaMalisa GJ hawawezi kumuonga ndio maana hajateuliwa ,wote hao waliopewa udc jua kama mwandishi wa habari basi alikuwa anajipendekeza kwa chama tawala au kusifia chama tawala na hao wapinzani waliopewa udc basi tambua walifanya biashara ya utumwa tangia awali hoivyo walikuwa kwenye wishlist wakisubiri teuzi.
Sasa mtu kama Malisa GJ ambaye alambi watawala viatu na bado hajanunuliwa unategemea atateuliwa?