TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Hivi mama anafeli wapi wadau ?yaani ndani ya ccm hakuna vijana wa kupewa uteuzi hadi anawapa ulaji hao wahamiaji wenye tamaa ya madaraka toka chadema, kuna vijana wengi ccm wamekipigania chama toka zamani lakini hawajapata uteuzi,daah yaani anarudia yale yale kama ya hayati magufuli
 
namkumbuka polepole alipokua DC ubungo chini ya makonda hakua na raha,alijiona kama yupo chini ya mtu asiestaili kua chini yake.
sasa mashinji yeye naona kama anazidi kutelemka.

HATA KUSUSA ANASHINDWA...!

haiwezekani Dr. mzima ujumlishwe na kayumba muapishwe pamoja, hii ni dhalau kabisa.
 
Nilikuwa tu kuwa Pascal hatoteuliwa kuwa DC! Nasubiri kuona akikosa udas nifanye hitimisho!
Sijawaona kina Johnthebaptist, jingalao, biayetu, kawealumin, USSR, et Al ambao wameipigania ccm na viongozi wake hapa jf. Au nao ni std viif? Nitawacheck kule kwa mad ili nihitimishe kwa namna ya pekee! Poleni mliokosa!
 
Hivi mama anafeli wapi wadau ?yaani ndani ya ccm hakuna vijana wa kupewa uteuzi hadi anawapa ulaji hao wahamiaji wenye tamaa ya madaraka toka chadema, kuna vijana wengi ccm wamekipigania chama toka zamani lakini hawajapata uteuzi,daah yaani anarudia yale yale kama ya hayati magufuli

Msoga prodakshizo!
 
Back
Top Bottom