Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Pascal Mayalla usife moyo neema yako inakujaNasikitika sana
Sijamuona mwenzetu paskali[emoji3525]
Aiseemama kamstiri wifi yake,hakajaachiwa urithi
Fanya konection nipate mkaa huo na. Mimi 😁
Haaaaa Haaaaa 😂 subir wakitumbuliwa utateuliwa jina lako lipo pending chalii yanguNgongo kapangiwa wapi !.
Wana makapi yao ,mpinzani origional hawezi kuteuliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi ndio unaona vizuri sana. Inaonekana umewekwa BENCH sasa[emoji1787]
ThanksSawa naandaa mkaa wa mpingo hapa nikupe kama zawadi,gunia moja unapikia mwaka mzima....Huu hauishi haraka!!
Hadi Nikk wa pili nae kateuliwa duh
Swahibaaaa🤣🤣🤣Swahiba😂😂😂
Huyohuyo wa sindano jombaUyu herry james aliepangwa ubungo ndio Yule Yule wa UVCCM au Ni mwingine
Pole sana kada mtiifu.
Kwakweli inauma kuona akina Nasari, Mashinji wanateuliwa nyie makada vindakindaki mnasugua benchi.
Salam ziwafikie Etwege johnthebaptist Wakudadavuwa Laki Si Pesa
Kuna form four failures wenye Diploma za Utangazaji humo,
Jokate , Basila Mwanakuzi(x- Miss Tanzania 1998), Bulembo. Uzuri na Urembo unachangia. Si Ajabu DAs tukamuona Mobeto, sepetu, na Iwoya.Utoke tu watu waangalie majina yao, nafasi mpya za ajira ambazo hazina application wala interview, sifa ya kupata ajira ni mapenzi ya mtawala kwa mteuliwa, unaweza pewa kwa sura/sauti nzuri uliyonayo, au ukose kwa sura/sauti mbaya uliyonayo.
Atapewa mgambo kwa machingaAsubiri Watendaji wa Tarafa labda.
Mikoa na wilaya ya mpakani na nchi korofi imekuwa desturi ya kuteua wajeda na mapolisi labda sababu za kiusalama. Fuatilia zaidi mwenyeweHuko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
Ajiangalie, katolewa uvccm katupwa u DC ambapo anaweza tumbuliwa anytimeHuyohuyo wa sindano jomba