Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Kihongozi yupo iramba mzee hajakatwa.Kasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kihongozi yupo iramba mzee hajakatwa.Kasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
Mwaipaya
Fatma Nyangasa
Nassari
Msando
Kalist lazaro waula
Sitegemei siasa Wala vyeo havinipeleki mbinguni.Utakaa bench mpaka matako yaote sugu
Wapinzani wanaula tuu
Siku ukiacha ujinga utatengeneza asali inzi wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umepangiwa wilaya gani boss?
Huko kapelekwa Fatma Nyangasa
Tasnia ya habari wanang'aa sana wenzetu....Maingizo mapya ya Samia nimeyaelewa, tasnia ya habari inaonekana ina kismati sana kwenye hizi nafasi. A. Mwaipaya, Fatma Nyangasa both from ITV/Radio One.
Huko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
Daaah......Loooh! Ndugu yetu Paschal Mayala ana mkosi gani jamani?
Waandishi kibao wamesombwa fuso inajaa lakini yeye hakuonekana
Umri mwache alee wajukuuLoooh! Ndugu yetu Paschal Mayala ana mkosi gani jamani?
Waandishi kibao wamesombwa fuso inajaa lakini yeye hakuonekana
Haiba, elimu na uzoefu wa kujijamii na jamiiTasnia ya habari wanang'aa sana wenzetu....
Nasubiria comments za wale waliokua wakisema Jokate kabwebwa na Shujaa JPM waje watuambie anavyobwebwa na Ironlady SSH
Wacha kazi iendelee
Kapelekwa IrambaMwingine ambaye kibarua chake kimeota "nyasi" ni yule DC "mjivuni" wa Arusha, Bwana Kihongosi[emoji3]
🤣🤣Nasubiria comments za wale waliokua wakisema Jokate kabwebwa na Shujaa JPM waje watuambie anavyobwebwa na Ironlady SSH
Wacha kazi iendelee
Kihongozi?Kasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
Atakujibu bara bara AkijaKwani Pascal Mayalla aliomba kuteuliwa? Au ilikua lazima ateuliwe?