Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mataga wanakomolewa?Komanya kaliwa kichwa.
Jerry Murro kahamishiwa Ikungi.
Waliokuwa CHADEMA wameula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga wanakomolewa?Komanya kaliwa kichwa.
Jerry Murro kahamishiwa Ikungi.
Waliokuwa CHADEMA wameula.
Labda kwenye Mkeka wa Ma RC huenda wakawemo! Uwe na subira.Nilikuwa tu kuwa Pascal hatoteuliwa kuwa DC! Nasubiri kuona akikosa udas nifanye hitimisho!
Sijawaona kina Johnthebaptist, jingalao, biayetu, kawealumin, USSR, et Al ambao wameipigania ccm na viongozi wake hapa jf. Au nao ni std viif? Nitawacheck kule kwa mad ili nihitimishe kwa namna ya pekee! Poleni mliokosa!
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Wapi Mshana na Pascal mayalla?Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Asante mama samia,sijamuona mkuu wangu wa wilaya ya busega,Tano S. Mwera,huyu mama alikuwa Hana staha mdomoni kwake ,barikiwa sana
Wakurugenzi msubirie kidogo...Wakurugenzi lini?
nimeona kwenye risti hiyo, namba 60 ni dr. mashinji.60 ipi mkuu unachanganya watu.
Hao uliowataja labda wapewe UDAS kwenye jamhuri ya Insta..Jokate , Basila Mwanakuzi(x- Miss Tanzania 1998), Bulembo. Uzuri na Urembo unachangia. Si Ajabu DAs tukamuona Mobeto, sepetu, na Iwoya.
Wilaya ya NkasiWapo kapangwa
Msando ndaniJoketi kapelekwa Temeke, mliokua mnamsagia kunguni na yule chizi mwenzenu twitter aibu kwenu
Ameweka wanajeshi sehemu zenye changamoto za kiusalama. Safi sana!Maingizo mapya ya Samia nimeyaelewa, tasnia ya habari inaonekana ina kismati sana kwenye hizi nafasi. A. Mwaipaya, Fatma Nyangasa both from ITV/Radio One.
Huko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
Wilaya ya NkasiMtoto wa mjini Peter lijualikali vipi mazee
Hahaaaa na mie pia naomba debe moja tu
Kaka kwani hawako wanaoishi mikoani na WAMETEULIWA?!!!Kama vile hizi teuzi zote na zilizo pita zina base dar au fani fulani hii tu ni kero kubwa sana kwangu
Dah abdallah mwaipaya ataenda kutakata Sasa[emoji1787]KITENGE kama angeacha ukuda wake wa kujifanya kuponda Simba SC na yy angelamba uteuzi naona Abdallah Mwaipaya na Fatma Nyangasa wameula
Nilikuwa tu kuwa Pascal hatoteuliwa kuwa DC! Nasubiri kuona akikosa udas nifanye hitimisho!
Sijawaona kina Johnthebaptist, jingalao, biayetu, kawealumin, USSR, et Al ambao wameipigania ccm na viongozi wake hapa jf. Au nao ni std viif? Nitawacheck kule kwa mad ili nihitimishe kwa namna ya pekee! Poleni mliokosa!
Poa utashare location nikipita maeneo hayo nikushushie ,nipo Minjingu.