Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍👊👊hahahahahahahahahahahahahahahahahahah........
sawa mkuu.
🤣🤣Mkuu umelamba?Nashtuka kutoka kupumzika naona simu yangu sms kibao kila mahali hadi nikashtuka kuna nini?
Kumbe kuna kacheo uchwara nimeshatupiwa humu. Mama mimi na udisii wapi na wapi? Hiyo nafasi yangu mpe mtu mwingine maana wala hata sitajisumbua kwenda huko. Yani wala hata siwazi achilia mbali kupeleka kwato zangu huko.
Minjingu ndyo wap
🤣🤣🤣Daaahh, nimetemwa tena.
Maza Hausi chondechonde next time
Ni Sawa lakini hizo ni kauli za waliofeli, wanyonge n.k.Cha muhimu ni kuwa ana afya njema, hayo mengine ni ya ziada
Amehamishiwa Kalambo.Asante mama samia,sijamuona mkuu wangu wa wilaya ya busega,Tano S. Mwera,huyu mama alikuwa Hana staha mdomoni kwake ,barikiwa sana
Arooo kweli poti???Chopa mchopanga kala uteuzi wa wilaya Rorya View attachment 1823984
Kamaa hamjui anaitwa Juma Issa Chikoka
Chopa mchopanga kala teuzi Pascal kaachwa ,akutukane hakuchagulii tusiPascal vipi! manake kakipigania sana chama huyu mzee.
Kweli mkuuArooo kweli poti???
Juma mgovi kilosa kaliwa kichwa au kahamishwa?Komanya kaliwa kichwa.
Jerry Murro kahamishiwa Ikungi.
Waliokuwa CHADEMA wameula.
MaRC tayari mkuu....🤣Huenda kwenye Mkeka wa Ma RC!