TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Mi mwenyewe nimetamani sana angekuja ilala.. au sijui nihamie Temeke 😁
Siyo poa kabisa hiyo! Joket angeletwa huku wilaya changa kama mlele, Tanganyika, Chato nk ili ayakimbize maendeleo kwa 5G! Isitoshe hizi wilaya mpya viwanja na ujenzi ni bei bwelele...ningemfuata kuungu juhudi kwa kinunua kakiwanja chapchap na kukajenga mkabala na ofisi yake au barabara ya kwenda kwake! Na ningeanzisha miradi ili aje aizindue kwa maendeleo ya wilaya😜!
Hata hivyo matumaini yangu hayajapotea completely maana namwaminia mama SSH kwa maamuzi ya last minute 😜😜😜! Mara paa...Joket wilaya ya mlele/tanganyika/chato😜! Asubuhi tu nimeshakamata viwanja loh😜!
Mama etu SSH embu basi fanya mambo 😜, tamka neno tu huyu mchapakazi atue👆ktk wilaya tajwa nafsi zetu zisuuzike😜! Embuuu uko maama fanya kitu basi😜!
 
Mama kaniudhi sana kwanini anamteua Lijuakali anamwacha Lisu?

Hajui kama sisi bavicha tuna aleji na kina Lijuakali?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Kwamba MATAGA mlikua mnamuombea yule Mtoto wa Dikteta uchwara aitwaye Joseph ndio afikiriwe?

By the way uliwahi kusikia Lissu anaomba msaada wa nafasi za kupewa kwa hisani??
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Kanzu mpya; shehe yule yule.
 
Sio Kwamba MATAGA mlikua mnamuombea yule Mtoto wa Dikteta uchwara aitwaye Joseph ndio afikiriwe?

By the way uliwahi kusikia Lissu anaomba msaada wa nafasi za kupewa kwa hisani??
Inaonekana una makasiriko sana mkuu, bila shaka huu uteuzi umekuudhi sana sio?
 
Nilikuwa tu kuwa Pascal hatoteuliwa kuwa DC! Nasubiri kuona akikosa udas nifanye hitimisho!
Sijawaona kina Johnthebaptist, jingalao, biayetu, kawealumin, USSR, et Al ambao wameipigania ccm na viongozi wake hapa jf. Au nao ni std viif? Nitawacheck kule kwa mad ili nihitimishe kwa namna ya pekee! Poleni mliokosa!
Ila johnthebaptist huwa anachangamsha sana.. mimi huwa nasoma sana post zake ili nicheke 😄
 
Nashtuka kutoka kupumzika naona simu yangu sms kibao kila mahali hadi nikashtuka kuna nini?
Kumbe kuna kacheo uchwara nimeshatupiwa humu. Mama mimi na udisii wapi na wapi? Hiyo nafasi yangu mpe mtu mwingine maana wala hata sitajisumbua kwenda huko. Yani wala hata siwazi achilia mbali kupeleka kwato zangu huko.
Heeeh, mama yangu weeeh, kumbe una kwatooooooh😜! MamaSSH hembu futilia mbali hilo jina lake huyu siyo binadamu ni jini sijui la msoga😂🤣😂! Muweke Musiba😜!
 
Haahaa ukuu wa wilaya makada wamejazwa, naomba Sana mama asitufanyie hivo kwenye ukurugenzi, ateue watumishi wa umma Kama taratibu zinavyotaka.Kujaza makada kwenye utumishi wa umma sio
 
Back
Top Bottom