witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo poa kabisa hiyo! Joket angeletwa huku wilaya changa kama mlele, Tanganyika, Chato nk ili ayakimbize maendeleo kwa 5G! Isitoshe hizi wilaya mpya viwanja na ujenzi ni bei bwelele...ningemfuata kuungu juhudi kwa kinunua kakiwanja chapchap na kukajenga mkabala na ofisi yake au barabara ya kwenda kwake! Na ningeanzisha miradi ili aje aizindue kwa maendeleo ya wilaya😜!Mi mwenyewe nimetamani sana angekuja ilala.. au sijui nihamie Temeke 😁
Sio Kwamba MATAGA mlikua mnamuombea yule Mtoto wa Dikteta uchwara aitwaye Joseph ndio afikiriwe?Mama kaniudhi sana kwanini anamteua Lijuakali anamwacha Lisu?
Hajui kama sisi bavicha tuna aleji na kina Lijuakali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna huyo mmoja huwa ana-act mlinzi wa getini afu chizi chizi (si unajua walinzi wa bongo movie) nae ni DC 😁Huyo Jerry hana lolote sifa tu zimemjaa
Hawa wasanii juzi Kati wote walikimbilia msoga kumsalimia Vasco kumbe walikuwa wamepeleka vimemo ...shit shit[emoji57]
Kanzu mpya; shehe yule yule.Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Mmmmh yani presdaa unamuwazia hiyo hela ya maandazi 6M? Emb kuwa serious basi.Mmmh sio kweli asee
Na presidaa?
Mmh acha basi[emoji15]Kuna huyo mmoja huwa ana-act mlinzi wa getini afu chizi chizi (si unajua walinzi wa bongo movie) nae ni DC [emoji16]
Inaonekana una makasiriko sana mkuu, bila shaka huu uteuzi umekuudhi sana sio?Sio Kwamba MATAGA mlikua mnamuombea yule Mtoto wa Dikteta uchwara aitwaye Joseph ndio afikiriwe?
By the way uliwahi kusikia Lissu anaomba msaada wa nafasi za kupewa kwa hisani??
Ila johnthebaptist huwa anachangamsha sana.. mimi huwa nasoma sana post zake ili nicheke 😄Nilikuwa tu kuwa Pascal hatoteuliwa kuwa DC! Nasubiri kuona akikosa udas nifanye hitimisho!
Sijawaona kina Johnthebaptist, jingalao, biayetu, kawealumin, USSR, et Al ambao wameipigania ccm na viongozi wake hapa jf. Au nao ni std viif? Nitawacheck kule kwa mad ili nihitimishe kwa namna ya pekee! Poleni mliokosa!
Kanzu mpya; shehe yule yule.Inaonekana una makasiriko sana mkuu, bila shaka huu uteuzi umekuudhi sana sio?
4mil nyumba bure gari bure heshima wilayani....
Heeeh, mama yangu weeeh, kumbe una kwatooooooh😜! MamaSSH hembu futilia mbali hilo jina lake huyu siyo binadamu ni jini sijui la msoga😂🤣😂! Muweke Musiba😜!Nashtuka kutoka kupumzika naona simu yangu sms kibao kila mahali hadi nikashtuka kuna nini?
Kumbe kuna kacheo uchwara nimeshatupiwa humu. Mama mimi na udisii wapi na wapi? Hiyo nafasi yangu mpe mtu mwingine maana wala hata sitajisumbua kwenda huko. Yani wala hata siwazi achilia mbali kupeleka kwato zangu huko.
Unadhani wanalipwa 2M mshahara wa Headmaster wa sekondari?Mmmh sio kweli asee
Na presidaa?
Wanaomjua Chopa pamoja na ushawishi wake kwa wasanii wenzake....ila jamaa yuko smart "upstairs".....Kuna huyo mmoja huwa ana-act mlinzi wa getini afu chizi chizi (si unajua walinzi wa bongo movie) nae ni DC 😁
Umesahau ya Chalamila?Joketi kapelekwa Temeke, mliokua mnamsagia kunguni na yule chizi mwenzenu twitter aibu kwenu
Mmmm hii mpya anaechunguzwa ni Mayor MoshiNASARI ALIKUWA BADO KWENYE UCHUNGUZI KWA KUSHIRIKIANA NA OLE SABAYA KUFANYA UHALIFU, LEO ANATEULIWA KUWA DC!
HIVI HAKUNA MAWASILIANO KATI YA IKULU NA TAKUKURU???
SERIKALI HAINA COORDINATION???