TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Inabidi tuombe idadi ya watu wenye actual degree za siasa or philosophy serikalini ata kama ni combo za PPE (Politics, Philosophy and Economics) kwa wale wenye nafasi za senior civil servants including washauri wa raisi Ikulu.
 
Dc wa Rorya

D57227C0-8DF3-4725-A9F0-353403785074.jpeg
 
Kuna watu ni wanafiki sana Kwahiyo mama kuteua ma-DC imewauma sana?mbona kipindi cha Jpm hamkulalamika?

Kipindi kile watu waliteuliwa hamkulalamika sasa samia anateua mwalalamika kwanini akifanya samia inakua nongwa lakini akifanya magufuli inakua ni sawa?

Au ndo mkuki wa nguruwe

Mbona kipindi cha jpm akiteua hamkunyanyua pua zenu?

Tena wanaolalamika ni vijana wa mataga ambao kipindi cha jpm walifurahia teuzi

Wacheni unafiki acheni mama achape kazi
Nimefurahi sana uteuzi wa mama. Amechukua kutoka makundi tofauti tofauti hasa vijana. Mambo ya kutujazia wastafu ameachana nayo
 
Huenda wengi ni aina ya Sabaya
Hivi mama anafeli wapi wadau ?yaani ndani ya ccm hakuna vijana wa kupewa uteuzi hadi anawapa ulaji hao wahamiaji wenye tamaa ya madaraka toka chadema, kuna vijana wengi ccm wamekipigania chama toka zamani lakini hawajapata uteuzi,daah yaani anarudia yale yale kama ya hayati magufuli
 
Ila huko Mwanga inabidi awe makini sana hasa kwakuwa atamkuta Mkurugenzi Mtoto wa Lubuva, kusitokee tena migogoro kama ile iliyokuwepo.

Mwanga kumekuwa na mizengwe mizengwe sana na Ofisi ya Utumishi pale kuna uozo sana.
 
Hongereni wote, nilivyokua najipendekeza kote kule sijaonwa 😭😔😔😔
 
Nadhani vijana wa Ccm ndio wanapaswa kujiuliza mara mbili mbili! Yaan mtu akitoka upinzani akija Ccm ni lulu! Hii inadhihirisha kuwa upinzani kuna vichwa na huko Ccm wengi ni vilazer!!
Si kweli.....

CCM ina hazina ya VIJANA....

Wako walioajiriwa na CHAMA kufanya kazi MAKAO MAKUU DODOMA na OFISI NDOGO LUMUMBA NA KISIWANDUI......

Ajabu tu ninyi wenzetu CHADEMA ,ofisi tu KUBWA yenye wafanyakazi wengi hamna .....hamna kabisa......

Sasa unategemea ikiwa huko tu CCM imewazidi......mtawashindia wapi ?!!!

Vijana wengine watateuliwa muda ukifika .....hwenda uDAS ama mwaka 2025 na kuendelea panapo uhai. ...

#KaziInaendelea
#NchiKwanza
 
Hongereni wote, nilivyokua najipendekeza kote kule sijaonwa 😭😔😔😔
Usikonde comrade....

Bado uDAS....
Bado uDED....

Na bado pia mkeka wa 2025 panapo uhai na afya ,Aaamin!

#TuiendelezeKaziYaChama
#NchiKwanza
#CCMNiNgome
 
Mwanaharakati huru naona anasubiria huko lolote jambo lakini wapi kimyaaaa....
 
Ila naona kuna kasoro na hizi teuzi, sijui ni vigezo vipi vinatumika mimi nilidhani wakuu wa wilaya wangekuwa wanatoka kwenye sekta ya utumishi wa umma na hii ingeaidia kwanza kuwa kama motisha kwa wateule na pia ingesaidia kupunguza matatizo ya wateuli ambao hawajui hata miongozo ya utumishi serikalini na ingesaidia kupunguza misuguano isiyo ya lazima kati ya ofisi ya mkuu wa wilaya na wafanyakazi wa sekta ya utumisihi wa umma, nimeona kuna wateule wengine ni wana mitindo, wengine watangazaji kwenye radio/runinga, wengine wafanyabiashara za salon. nadhani umefika wakati wateuliwa wa hizi nafasi wawe ni watumishi wa umma badala ya sasa ambao kuna wateuliwa wengine ni wa mashaka mashaka, tusije rudi kule kule kwa akina Ole sazuri
Mfanyakazi wa sekta ya UMMA akawe vyema MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CCM YA WILAYA?!!!!

Tusisahau uDC pia ni nafasi adhimu ya kisiasa.....ndivyo katiba ISEMAVYO.....

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom