Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simon Simalenga aka DimeraMwaipaya
Fatma Nyangasa
Nassari
Msando
Kalist lazaro waula
Mchopa mchopanga jamaa ana shule kichwaniKuna huyo mmoja huwa ana-act mlinzi wa getini afu chizi chizi (si unajua walinzi wa bongo movie) nae ni DC [emoji16]
Nimefurahi sana uteuzi wa mama. Amechukua kutoka makundi tofauti tofauti hasa vijana. Mambo ya kutujazia wastafu ameachana nayoKuna watu ni wanafiki sana Kwahiyo mama kuteua ma-DC imewauma sana?mbona kipindi cha Jpm hamkulalamika?
Kipindi kile watu waliteuliwa hamkulalamika sasa samia anateua mwalalamika kwanini akifanya samia inakua nongwa lakini akifanya magufuli inakua ni sawa?
Au ndo mkuki wa nguruwe
Mbona kipindi cha jpm akiteua hamkunyanyua pua zenu?
Tena wanaolalamika ni vijana wa mataga ambao kipindi cha jpm walifurahia teuzi
Wacheni unafiki acheni mama achape kazi
Et ehh sio wewe na mataga wenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uteuzi wa leo ni mwiba mchungu sana kwa bavicha
Hivi mama anafeli wapi wadau ?yaani ndani ya ccm hakuna vijana wa kupewa uteuzi hadi anawapa ulaji hao wahamiaji wenye tamaa ya madaraka toka chadema, kuna vijana wengi ccm wamekipigania chama toka zamani lakini hawajapata uteuzi,daah yaani anarudia yale yale kama ya hayati magufuli
Bushmamy hukubahatika kupata wilaya hata ya pembezoni?Umepangiwa wilaya gani boss?
Si kweli.....Nadhani vijana wa Ccm ndio wanapaswa kujiuliza mara mbili mbili! Yaan mtu akitoka upinzani akija Ccm ni lulu! Hii inadhihirisha kuwa upinzani kuna vichwa na huko Ccm wengi ni vilazer!!
Usikonde comrade....Hongereni wote, nilivyokua najipendekeza kote kule sijaonwa 😭😔😔😔
Mfanyakazi wa sekta ya UMMA akawe vyema MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CCM YA WILAYA?!!!!Ila naona kuna kasoro na hizi teuzi, sijui ni vigezo vipi vinatumika mimi nilidhani wakuu wa wilaya wangekuwa wanatoka kwenye sekta ya utumishi wa umma na hii ingeaidia kwanza kuwa kama motisha kwa wateule na pia ingesaidia kupunguza matatizo ya wateuli ambao hawajui hata miongozo ya utumishi serikalini na ingesaidia kupunguza misuguano isiyo ya lazima kati ya ofisi ya mkuu wa wilaya na wafanyakazi wa sekta ya utumisihi wa umma, nimeona kuna wateule wengine ni wana mitindo, wengine watangazaji kwenye radio/runinga, wengine wafanyabiashara za salon. nadhani umefika wakati wateuliwa wa hizi nafasi wawe ni watumishi wa umma badala ya sasa ambao kuna wateuliwa wengine ni wa mashaka mashaka, tusije rudi kule kule kwa akina Ole sazuri