Dunia nzima ndo maana kukawa na vyama vya siasa hata kwenye nchi zenye ufalme vyama vya siasa vipo . Mnapokuwa chama kimoja mnakuwa na ideology moja huwezi kuta mtu wa Dem kumchagua mtu wa Rep kwenye nafasi za kisiasa hata siku moja kwa maana mtakuwa mnatofautiana maono pia kumchagua mtu wa chama chako kunaleta amani na upambanaji kwa kuamini tunapigana vita tukishinda bhasi tutaongoza pamoja ndo maana Trump aliweka mpk watoto,wakwe nk kwa vile walipigana pamoja
Sasa unashangaa Tanzania wanaotukanwa matusi ,waliokesha,mvua ,jua,baridi,joto zote ziliwaishia na ktembea nyumba kwa vyumba kuomba kura wanaachwa wanakwenda kuteuliwa watu ambao hawana hata uchungu na chama wengine hata huwezi sema ni CCM mfano huyu Nick hv kweli??
Sidhani kama Chadema wakichukua nchi wanaweza waacha watu wao waliopambana usk na mchana kwenda kuchagua mamiss ,waimba muziki ambao hata si wanasiasa na kuwapa nafasi na kuwaacha watu waliokesha kutukanwa kufungwa kwa sababu ya chama
Japo unaweza kusema Nchi ni moja na wote ni Watanzania but hata Mungu mitume wote na manabii wote walitokea eneo moja la middle east kwani hakuona sehemu nyingine au maeneo mengine kulikuwa hakuna wanadamu akateua kutoka sehemu moja?
Kama Tumeona kazi ya DC ,RC mtu yeyote anaweza fanya ukipiga mahesabu ni nafasi zaidi ya 200 za kazi bhasi ziwe zinatangazwa tunatafuta international recurtment company wanasimamia zoezi la interview kuondoa vigisu watu wanafanya kila mtanzania mwenye vigezo na uwezo anaomba wanaoshinda bhasi wanakuwa wakuu wa wilaya kwa contract ya miaka 5
Sasa unashangaa Tanzania wanaotukanwa matusi ,waliokesha,mvua ,jua,baridi,joto zote ziliwaishia na ktembea nyumba kwa vyumba kuomba kura wanaachwa wanakwenda kuteuliwa watu ambao hawana hata uchungu na chama wengine hata huwezi sema ni CCM mfano huyu Nick hv kweli??
Sidhani kama Chadema wakichukua nchi wanaweza waacha watu wao waliopambana usk na mchana kwenda kuchagua mamiss ,waimba muziki ambao hata si wanasiasa na kuwapa nafasi na kuwaacha watu waliokesha kutukanwa kufungwa kwa sababu ya chama
Japo unaweza kusema Nchi ni moja na wote ni Watanzania but hata Mungu mitume wote na manabii wote walitokea eneo moja la middle east kwani hakuona sehemu nyingine au maeneo mengine kulikuwa hakuna wanadamu akateua kutoka sehemu moja?
Kama Tumeona kazi ya DC ,RC mtu yeyote anaweza fanya ukipiga mahesabu ni nafasi zaidi ya 200 za kazi bhasi ziwe zinatangazwa tunatafuta international recurtment company wanasimamia zoezi la interview kuondoa vigisu watu wanafanya kila mtanzania mwenye vigezo na uwezo anaomba wanaoshinda bhasi wanakuwa wakuu wa wilaya kwa contract ya miaka 5