chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
hivi mataga=mata+n+ga.au mbona yanakaribiana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].utani tu mkuu usimaindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kipigo kikubwa haswa. Hiyo ni kesi ya jinai , bongo Anapewa Uspeaker, kazi iendelee
Leak please, una akili ya mbu,Safi sana Mama uteuzi huu nimeukubali sana na umeamua kuwaamini vijana safi sana..
Vijana wana changamoto sana kwenye uongozi wana paswa kulelewa kukuzwa na kufunzwa wanapo kosea.
Lakini ningependa kuwe namuendelezo kewa wakuu wa wilaya wanofanya vyema at least wangekuwa wanadumu sehemu hata kwa miaka mitano mfano kisarawe na temeke....lakini yote ni nia njema.
hongera sana Nick wa pilli una kazi kubewa sana..
Chopa wa mchopanga hongera sana .....nakukubali uko smart..
MaMA SAMIA UMENIKOSHA NA KAZI IENDELEE
Wananchi wa Tabora wanafanya sherehe. Komanya alikuwa gaidi sana.Komanya kaliwa kichwa.
Jerry Murro kahamishiwa Ikungi.
Waliokuwa CHADEMA wameula.
Hahahaha usijari mkuuhivi mataga=mata+n+ga.au mbona yanakaribiana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].utani tu mkuu usimaindi
Yaani huwa mara nyingi nawaza sana ili uwe Mataga lazima fyuzi zikatike aisee maana jamaa ni mambulula kweli kweliWamepigwa ile kitu tunaita Daflau ya kidevu, ujue hata ccm kwenyewe hua wanawaona vijana wao hawana akili ndio maana hua wanaamua kuyaacha tu
Hivi kila kazi lazima uteuliwe na Rais? Ndiyo maana kila mtu Anamsifia, kujikomba! Stanza tena hata mama ntilie.Kuna makanali 14, captain mmoja na makamishna wa polisi wawili.
Hayajiulizi hata mwendazake hakuwa na mpango nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila inauma nyie..mtu kama
YEHODAYA alikua front line vby mno kwenye kutoa info kwa msiba wa mwendazake..alafu ni msomi mzuri tu ..wanakuja chaguliwa wakina mchopanga sijui ! Khaa...
Mtu kama mkuu wa mkoa wa Mor hata sio mfia dini yule ni opportunist..lakini wameachwa wafia dini kibao!MKOME..ccm ina wenyewe...hebu imagine Mashinji kwa ufia chama upi?kina Nasari kwa mapenzi yapi na ccm![emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Unajiajir kama @YEHODAWA hajateuliwa? Hapa si anatumia fake idIla inauma nyie..mtu kama
YEHODAYA alikua front line vby mno kwenye kutoa info kwa msiba wa mwendazake..alafu ni msomi mzuri tu ..wanakuja chaguliwa wakina mchopanga sijui ! Khaa...
Mtu kama mkuu wa mkoa wa Mor hata sio mfia dini yule ni opportunist..lakini wameachwa wafia dini kibao!MKOME..ccm ina wenyewe...hebu imagine Mashinji kwa ufia chama upi?kina Nasari kwa mapenzi yapi na ccm!🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Inawezekana yuko Ukonga Kama walivyofanyiwa mashehe, atasota huko miaka 9
Kawe Alumni na Bia Yetu walishatokomea kusikojulikana.
Kila siku nawaambia hawana akili, ninyi huwa mnaona nawadanganya sio?Ni kama Raisi anawaambia "niacheni nifanye yangu kwenye Awamu yangu"
Kawe Alumni na Bia Yetu walishatokomea kusikojulikana.
Idugunde njoo huku unatafutwa Mkuu.Yaani hakuna kiongozi yenu yeyote anaewakabali hivi hamuwezi kujishitukia kuwa Marais wote wanawaona kama ninyi ni majuha?? Iweje teuzi karibia zote wapewe watu ambao sio wafia chama?! Jitafakarini punguzeni umbumbumbu