GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
hizi ndizo akili za watanzania kwenye swala la Simba na Yanga....leo hii miaka nenda miaka rudi timu pinzani ni mbili kwenye taifa lenye watu milioni 60,hamtaki mabadiliko hadi mnaomba kupangiwa matokeo.....maana ya kuwepo ligi ni nini sasa,ndio maana soka letu halikuwi kwa ujinga kama huu.