Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Yacouba na Kambole.Wataje kwa majina, usiseme huyu na huyu. Mbona Tuisila anatajwa kwa jina, hao au huyo anayekatwa kwa nini hatajwi? Na umejiuliza ni kwa nini haya madai hayatolewi na uongozi wa Yanga, ila yanatolewa na Manara?