TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

Basi kama uongozi wa Yanga haujalalamika, sasa washabiki wa humu mitandaoni wanalalamikia kitu gani na kwa kurejea waraka gani?
kwan ww hoja unazotumia kupushback unarejea waraka upi? maana umesema walitaka kusajili bila kutoa jina moja wakati uongozi wa yanga haukuwa kusema kuwa uliwahi kufanya hivyuo? hio standard unayotk kuapply kwangu apply na kwako pia
 
Kanuni za mashtaka ni kwamba anayelalamika ndiye anayetakiwa kuonyesha ushahidi. Ukimpeleka mtu mahakamani, ni jukumu lako kupeleka ushahidi kuwa ana hatia, na si jukumu la mtuhumiwa wako kupeleka ushahidi kwamba hana hatia. yaani umkamate mwizi halafu umwambie leta ushahidi kuwa haujaiba?
ni kweli lkn mshtakiwa hatakiwi kujitetea kutumia kielezo ambacho hakiexist au hakiwez kuthibitishwa kisheria,
 
TFF walighairisha mchezo kutoka saa 11 mpaka 1 saa .mkagoma mkasema mnazingatia Sheria na kanuni.
TFF na nyi simamieni hapo hapo
Wao tff wametumia kanuni gani kumzuia Kisinda aliesajiliwa ndani ya muda
 
Mimi apa nilichoelewa ni kwamba ,yanga hajaonewa na wala simba hakupendelewa ila ni kwamba simba walifanya kwa wakat yan caf na tff walikua bado kuna nafasi ya kusajili na kufanya mabadiliko ,kwa yanga kuna sehemu moja wamechelewa yan kwa upande wa caf ,so tff wakimpa lesen au ruhusu acheze ligi ya ndan tu ni sawa na kuzidisha idadi kwa sheria za tff,, cha kufanya yanga wana ya kufanya wabaki na wachezaji wao vile vile wasubr dilisha dogo kwa pande zote alaf wafanye ayo mabadilko kwa maana wataendelea kuwa na wachezaji 13 lkn ndan watacheza 12 mmoja ataingizwa kimataifa ambae atarud uku ndan
 
Elewa concept ya mleta mada. Mfano wake hauhusiani na Covid na hata 2021 haikuhusiana na Covid. Anachoongelea ni Chikwende kuruhusiwa kucheza ndani na kumtoa Kahata kubaki na mashindano ya nje pekee. Hiki ndo Yanga walichokifanya kwa sasa kumtoa Kambole ndani na kumbakiza nje pekee kisha kumleta Kisinda ndani na nje badala yake. Tofauti unaiona wapi hapo?
Bado unamkosoa aliye sahihi. Kahata alisajiliwa kucheza mechi za kimataifa tu kwani CAF waliruhusu kusajili wachezaji zaidi kwa ajili ya COVID-19. Chikwende alisajiliwa kucheza ligi ya ndani tu kwa kuwa kanuni za TFF ziliruhusu wachezaji 12 tu wa kimataifa hivyo Kahata akatolewa kwenye mfumo wa TFF na kuingizwa wa CAF peke yake. Msimu huu CAF wameondoa kanuni hiyo na sasa wanasajili majina ya wachezaji kama yalivyosajiliwa na vyama au mashirikisho ya mpira ya mataifa (nchi) husika. Kwa maana hiyo, Yanga wamesajili wachezaji 13 badala ya 12.
Anyways,tunajua yanga zaidi ya JK na Sunday Manara waliobaki ni mataahira ndio maana walifanya sub awamu 4 badala ya 3.
 
Mimi apa nilichoelewa ni kwamba ,yanga hajaonewa na wala simba hakupendelewa ila ni kwamba simba walifanya kwa wakat yan caf na tff walikua bado kuna nafasi ya kusajili na kufanya mabadiliko ,kwa yanga kuna sehemu moja wamechelewa yan kwa upande wa caf ,so tff wakimpa lesen au ruhusu acheze ligi ya ndan tu ni sawa na kuzidisha idadi kwa sheria za tff,, cha kufanya yanga wana ya kufanya wabaki na wachezaji wao vile vile wasubr dilisha dogo kwa pande zote alaf wafanye ayo mabadilko kwa maana wataendelea kuwa na wachezaji 13 lkn ndan watacheza 12 mmoja ataingizwa kimataifa ambae atarud uku ndan
ipo hivi,
usajili wa siku hizi sio kama wa zamani, usajili wa siku hizi unafanywa kwenye system inayoitwa TMS. It means kama umekosea usajili system yenyewe inareject huo usajili. Mambo ya manual transfer tulishatoka huko muda mrefu.. yanga wangekuwa wamefanya usajili batili hata sysytem ingezingua. cha ajabu hata ITC huwa inaomba na shirikisho la nchi husika kwa maana hiyo ITC ya kisinda imeomba na TFF halafu from no where leo TFF ina discard huyo usajili manually wakati system ilishakubali
 
Bado unamkosoa aliye sahihi. Kahata alisajiliwa kucheza mechi za kimataifa tu kwani CAF waliruhusu kusajili wachezaji zaidi kwa ajili ya COVID-19. Chikwende alisajiliwa kucheza ligi ya ndani tu kwa kuwa kanuni za TFF ziliruhusu wachezaji 12 tu wa kimataifa hivyo Kahata akatolewa kwenye mfumo wa TFF na kuingizwa wa CAF peke yake. Msimu huu CAF wameondoa kanuni hiyo na sasa wanasajili majina ya wachezaji kama yalivyosajiliwa na vyama au mashirikisho ya mpira ya mataifa (nchi) husika. Kwa maana hiyo, Yanga wamesajili wachezaji 13 badala ya 12.
Anyways,tunajua yanga zaidi ya JK na Sunday Manara waliobaki ni mataahira ndio maana walifanya sub awamu 4 badala ya 3.
huna hoja na wewe ni andiko lako limekaa bias.
 
Wao tff wametumia kanuni gani kumzuia Kisinda aliesajiliwa ndani ya muda
Una uhakika alisajiliwa ndani ya muda? Kuna tofauti ya kutangazwa ndani ya muda na kusajiliwa ndani ya muda. Mchezaji kuingia mkataba na club haimaanishi amesajiliwa kwenye mfumo wa TFF. Msimu uliopita utopolo haikuweza kuwatumia wachezaji wake kwenye Klabu bingwa kwa upuuzi kama huu wanaorudia.
 
Sasa kama uongozi wa Yanga haukuwahi kusema kwamba ulipeleka jina la Tuisila, wewe unaishutumu TFF kwa misingi ipi?
ah ni TFF wenyew waliosema kuwa haitakiwi kusajili wachezaji zaidi ya walioruhusiwa kikanuni wakati simba waliwahi kufanya hivyo walipomsajili chikwende, sema tu ww ulikua uko busy na hoja ya manara ndio maana ukamiss hoja yangu,
 
Mimi apa nilichoelewa ni kwamba ,yanga hajaonewa na wala simba hakupendelewa ila ni kwamba simba walifanya kwa wakat yan caf na tff walikua bado kuna nafasi ya kusajili na kufanya mabadiliko ,kwa yanga kuna sehemu moja wamechelewa yan kwa upande wa caf ,so tff wakimpa lesen au ruhusu acheze ligi ya ndan tu ni sawa na kuzidisha idadi kwa sheria za tff,, cha kufanya yanga wana ya kufanya wabaki na wachezaji wao vile vile wasubr dilisha dogo kwa pande zote alaf wafanye ayo mabadilko kwa maana wataendelea kuwa na wachezaji 13 lkn ndan watacheza 12 mmoja ataingizwa kimataifa ambae atarud uku ndan
Hakuna kitu kama hicho. Yaani wabaki 13 kwa kanuni zipi hizo?
 
Jina la 13 limepelekwa likiwa ni la mwisho katika orodha bila kutaja jina la kukatwa
Acha uongo, taarifa rasmi inasema Yanga walishapeleka barua rasmi ya kuliondoa jina la Kambole.
 
Hakuna kitu kama hicho. Yaani wabaki 13 kwa kanuni zipi hizo?
kwani chikwende iliwezekana kwa kanuni ipi? tuseme tu kuwa TFF hawataki tena watu kutumia ile loophole walioitumia simba kipindi kile,
 
Acha uongo, taarifa rasmi inasema Yanga walishapeleka barua rasmi ya kuliondoa jina la Kambole.
TFF wanajifny kuwa smart now ila wanasahau kuwa jambo wanalolikataa sasa hivi walishawaruhusu simba kulifanya,
 
kwani chikwende iliwezekana kwa kanuni ipi? tuseme tu kuwa TFF hawataki tena watu kutumia ile loophole walioitumia simba kipindi kile,
Mkuu unakaza sana Fuvu. Kesi ya chikwende ilikuwa faida ya kanuni za CAF kuwa tofauti na TFF sababu ya corona. Kwa sasa CAF wanachukua majina kama yalivyo toka TFF.
 
lakini katika yote huyu Wallace Karia ana shida gani na Yanga? au anaamini yeye ni Mkubwa kuliko Yanga?
Nachojiuliza mimi , Viongozi wa Yanga huwa hawakosei isipokuwa Karia tu?

Na kwa nini iwe Yanga tu ndio tuwe wa kuonewa kila siku wakati ligi ina timu 16 na hatusikii malalamiko kwa hivyo vilabu vingine?

Je, hakuna jambo zuri hata Moja ambalo Tff ya karia imewahi kutufanyia tangu waingie madarakani?

Je ,mbona lile sakata la udhamini wenza wa GSM katika ligi ya NBC hatukuwahi kuilaumu Tff kwa kukiuka kanuni badala yake tuliwapongeza ?

Itoshe tu kusema , Karia na Tff yake hata akitufanyia mazuri ya namna gani kamwe hatuwezi kushukuru. Hapa ndipo ule msemo usemao " Nyama ikidondoka kwenye majivu hata ukiiosha namna gani kamwe haiwezi kutakata"

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Bado unamkosoa aliye sahihi. Kahata alisajiliwa kucheza mechi za kimataifa tu kwani CAF waliruhusu kusajili wachezaji zaidi kwa ajili ya COVID-19. Chikwende alisajiliwa kucheza ligi ya ndani tu kwa kuwa kanuni za TFF ziliruhusu wachezaji 12 tu wa kimataifa hivyo Kahata akatolewa kwenye mfumo wa TFF na kuingizwa wa CAF peke yake. Msimu huu CAF wameondoa kanuni hiyo na sasa wanasajili majina ya wachezaji kama yalivyosajiliwa na vyama au mashirikisho ya mpira ya mataifa (nchi) husika. Kwa maana hiyo, Yanga wamesajili wachezaji 13 badala ya 12.
Anyways,tunajua yanga zaidi ya JK na Sunday Manara waliobaki ni mataahira ndio maana walifanya sub awamu 4 badala ya 3.

Yanga ni kusanyiko la majuha ndiyo maana viongozi wako kimyaaa baada ya kuona wamechemka sasa hawa kina kajambanani wamechukulia upotoshaji wa Haji Manara kuwa ndiyo sheria. Haji ana mission yake maalum kuthibitisha kile alichowahi kusema kuwa huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu.
 
Acha uongo, taarifa rasmi inasema Yanga walishapeleka barua rasmi ya kuliondoa jina la Kambole.
Tatizo mnasimamia kwenye kauli za Haji Manara, mbona uongozi hadi sasa upo kimya? Haji ana ajenda yake nyie hamjamfahamu tu na anawapelekesha kweli kweli
 
Nachojiuliza mimi , Viongozi wa Yanga huwa hawakosei isipokuwa Karia tu?

Na kwa nini iwe Yanga tu ndio tuwe wa kuonewa kila siku wakati ligi ina timu 16 na hatusikii malalamiko kwa hivyo vilabu vingine?

Je, hakuna jambo zuri hata Moja ambalo Tff ya karia imewahi kutufanyia tangu waingie madarakani?

Je ,mbona lile sakata la udhamini wenza wa GSM katika ligi ya NBC hatukuwahi kuilaumu Tff kwa kukiuka kanuni badala yake tuliwapongeza ?

Itoshe tu kusema , Karia na Tff yake hata akitufanyia mazuri ya namna gani kamwe hatuwezi kushukuru. Hapa ndipo ule msemo usemao " Nyama ikidondoka kwenye majivu hata ukiiosha namna gani kamwe haiwezi kutakata"

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app

Na yule mropokaji Haji Manara ndiye anazidi kuwavuruga kwani hata wachangiaji wengi humu wananukuu kauli za upotoshaji za Haji Manara.
 
Elewa concept ya mleta mada. Mfano wake hauhusiani na Covid na hata 2021 haikuhusiana na Covid. Anachoongelea ni Chikwende kuruhusiwa kucheza ndani na kumtoa Kahata kubaki na mashindano ya nje pekee. Hiki ndo Yanga walichokifanya kwa sasa kumtoa Kambole ndani na kumbakiza nje pekee kisha kumleta Kisinda ndani na nje badala yake. Tofauti unaiona wapi hapo?
Kanuni inasema akipunguzwa c kamba abaki timu hyo hyo.....ni uhamisho kwenda team nyingine..
 
Back
Top Bottom