TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

yah ufafanuzi wa issue ya kahata iliwezekanaje na hii ya yanga inashndknaje utaondoa utata
Nimeshaeleza kuwa Simba walitaja kabisa kwa jina kuwa anayekatwa awe Kahata. Yanga wamemtaja mchezaji gani? TFF ulitaka ikaye yeyote hata Mayele? Usiwe na kichwa kigumu. Nimekudokeza kidogo, unadhani kwa nini haya madai ya kuonewa hayajatolewa na uongozi wa Yanga ila yametolewa na Haji Manara? Kwamba unadhani uongozi wa Yanga haujui utaratibu? Wanajua, ndio maana wakawa wapole, ila ili kujivua lawama kwa washabiki wao, wakamtuma mtu ambaye TFF haimtambui kama kiongozi ili awajaze upepo wananchi wajione kama wameonewa
 
Ndugu, hoja ya TFF ni kwamba hata kama CAF wanaruhusu wachezaji wa kigeni zaidi ya 12 kwenye michuano yao; wao TFF hawataki wazidi 12!.

Issue ni kanuni hii ya TTF inaweza override kanuni ya CAF kwenye michuano ya CA?

Naomba nijibiwe hapa.
hapana haiwezi, maana mwenye michuano ni CAF naye hajaweka kikomo,
 
Nimeshaeleza kuwa Simba walitaja kabisa kwa jina kuwa anayekatwa awe Kahata. Yanga wamemtaja mchezaji gani? TFF ulitaka ikaye yeyote hata Mayele? Usiwe na kichwa kigumu. Nimekudokeza kidogo, unadhani kwa nini haya madai ya kuonewa hayajatolewa na uongozi wa Yanga ila yametolewa na Haji Manara? Kwamba unadhani uongozi wa Yanga haujui utaratibu? Wanajua, ndio maana wakawa wapole, ila ili kujivua lawama kwa washabiki wao, wakamtuma mtu ambaye TFF haimtambui kama kiongozi ili awajaze upepo wananchi wajione kama wameonewa
Issue sio hiyo ndugu. Yanga hawawezi ongeza mchezaji bila kukata mchezaji!

issue ni TFF hawataki wachezaji zaidi ya 12, kwenye michuano yote ya TFF na CAF!
 
Case yako uliyorefer sidhani kama bado utakuwa sahihi ukiitumia leo, wakati wa usajili wa Chikwende CAF walitoa nafasi timu zisajili tena hasa zile zilizokuwa champions league kutokana na tatizo la uviko ili ikitokea baadhi ya wachezaji wana maambukizi timu zisiathirike wawepo wengine wa kucheza

Sasa hiyo kanuni bado ipo pamoja na kupungua kwa maambukizi ya uviko kama bado ipo utakuwa sahihi mkuu
ile kanuni ya substition 5 badala ya 3 ipo au imefutwa?
 
Nimeshaeleza kuwa Simba walitaja kabisa kwa jina kuwa anayekatwa awe Kahata. Yanga wamemtaja mchezaji gani? TFF ulitaka ikaye yeyote hata Mayele? Usiwe na kichwa kigumu. Nimekudokeza kidogo, unadhani kwa nini haya madai ya kuonewa hayajatolewa na uongozi wa Yanga ila yametolewa na Haji Manara? Kwamba unadhani uongozi wa Yanga haujui utaratibu? Wanajua, ndio maana wakawa wapole, ila ili kujivua lawama kwa washabiki wao, wakamtuma mtu ambaye TFF haimtambui kama kiongozi ili awajaze upepo wananchi wajione kama wameonewa
haiwezekani wapeleke jina la mtu wa 13 bila kumtaja wanaetk kumtoa wakati kanuni iko waz kuwa ni wachezaji 12, swala ni kuwa issue hii ilitokea kwa simba na baada ya hapo TFF ikaona ilikuwa haina maana na hakuitkn tena ndio maana sasa hivi wameclose hio loophole, ni km mechi ya simba na kagera ilipoahirishwa halafu mtibwa wakagomewa so msimu huu bodi ya ligi ikaja na kanuni ambayo swala lile haliwez kuwa tata tena km likitokea, yanga walitk watumie loophole walioitumia simba kwa chikwende but wamekataliwa
 
Issue sio hiyo ndugu. Yanga hawawezi ongeza mchezaji bila kukata mchezaji!

issue ni TFF hawataki wachezaji zaidi ya 12, kwenye michuano yote ya TFF na CAF!
yea kimsingi TFF haitaki tena trick ambayo simba waliitumia kwa chikwende, yanga wanataka watumie ile trick, ndio maana kuna hayo malalaiko,
 
haiwezekani wapeleke jina la mtu wa 13 bila kumtaja wanaetk kumtoa wakati kanuni iko waz kuwa ni wachezaji 12, swala ni kuwa issue hii ilitokea kwa simba na baada ya hapo TFF ikaona ilikuwa haina maana na hakuitkn tena ndio maana sasa hivi wameclose hio loophole, ni km mechi ya simba na kagera ilipoahirishwa halafu mtibwa wakagomewa so msimu huu bodi ya ligi ikaja na kanuni ambayo swala lile haliwez kuwa tata tena km likitokea, yanga walitk watumie loophole walioitumia simba kwa chikwende but wamekataliwa
Achaneni na porojo za Manara, fuateni kinachoelezwa na uongozi. Onyesha mahali ambapo uongozi wa Yanga umelalamika na ukataja kabisa kwa jina kuwa walipeleka jina la Tuisila liongezwe halafu na jina la huyo anayetakiwa kukatwa likatajwa kabisa fulani bin fulani
 
Achaneni na porojo za Manara, fuateni kinachoelezwa na uongozi. Onyesha mahali ambapo uongozi wa Yanga umelalamika na ukataja kabisa kwa jina kuwa walipeleka jina la Tuisila liongezwe halafu na jina la huyo anayetakiwa kukatwa likatajwa kabisa fulani bin fulani
hakuna official statement kutoka yanga, ht ww huwez kuonesha uongozi wa yanga uliposema kuwa ilipeleka jina la 13 bila kutaka kutoa jina moja, km ipo onyesha
 
Kitu ambacho this time around Yanga wamefanya hivyo hivyo.

Lakini wakati huo hatukusikia TFF ikikataa usajili huo.

Wachambuzi wenye ‘mbambamba’ nyingi kama akina Juma Ayo, Jemedari Said na Wilsom Oruma hatukuwasikia pia katika uchambuzi wa kujifanya wanajua kutetea sheria kama wanavyotetea sasa.
Yanga kubwa kuliko Tff
 
hakuna official statement kutoka yanga, ht ww huwez kuonesha uongozi wa yanga uliposema kuwa ilipeleka jina la 13 bila kutaka kutoa jina moja, km ipo onyesha
Basi kama uongozi wa Yanga haujalalamika, sasa washabiki wa humu mitandaoni wanalalamikia kitu gani na kwa kurejea waraka gani?
 
wao TFF hawana cha kupoteza hata wasipotaja. Wewe ambaye unahisi umeonewa, taja kabisa kuwa nilipeleka jina la Kambole likatwe, na hiyo document iwe ya uongozi wa Yanga, sio screenshot ya Manara
ht ww unachokisema kuwa hawakuonyesha jina gan litoke hakipo kwenye official statement yoyote ile, zote ni tetesi tu
 
ht ww unachokisema kuwa hawakuonyesha jina gan litoke hakipo kwenye official statement yoyote ile, zote ni tetesi tu
Kanuni za mashtaka ni kwamba anayelalamika ndiye anayetakiwa kuonyesha ushahidi. Ukimpeleka mtu mahakamani, ni jukumu lako kupeleka ushahidi kuwa ana hatia, na si jukumu la mtuhumiwa wako kupeleka ushahidi kwamba hana hatia. yaani umkamate mwizi halafu umwambie leta ushahidi kuwa haujaiba?
 
Back
Top Bottom