Wazee wote wako utopoloniHuko umbumbumbuni hakuna vijana
Wewe ni kiben ten tuu...ba wadogo wana adabu...Unajifanya umesahau hapa dodoma wakati nikikuwepo siku hiyo ulipozimia pale tukiposhindilia mjegeje wa 5?
Sasa utazimia sana safari hii nenda na dawa zakoπ
Halafu hiyo ya kuniita kitoto wakati mimi bamdogo wako kuwa na adabu wewe mshangazi
Ni kweli maana wazee wote wameshahamia utopoloni kwa sasa yapo makinda hata ujana tuu bado...Huko umbumbumbuni hakuna vijana
Wewe una utajiri Gani?UNAAKILI TIMAMU KWELI????
UNAKAZA FUVU KISA UPUMBAVU WA SIMBA NA YANGA.
PAMBANA KUIOKOA FAMILIA YAKO NA WIMBI LA UMASIKINI.
Unazungumzia mzee ChamaNi kweli maana wazee wote wameshahamia utopoloni kwa sasa yapo makinda hata ujana tuu bado...
Jikite kwenye hoja na ushahidi upo
Huo uwezo wa kujenga hoja watautoa wapi! Unafikiri Rage hakufikiri kwa kina pale alipowaita mbumbumbu? Hao wanajua kutukana tu.Jikite kwenye mada wewe kigagula wa kolo
Hujui kwamba unabebwa wazi au ndio vile umeamua kunyamaza tu sababu kipenda roho hula nyama mbichi eeh
Nyie ni mazuzu...hilo liko wazi Tateee..Huo uwezo wa kujenga hoja watautoa wapi! Unafikiri Rage hakufikiri kwa kina pale alipowaita mbumbumbu? Hao wanajua kutukana tu.
Yaani mazuzu huwa kama wana laana kutoka kwa mzee Rage sasa hata mmoja aliyejikita kwenye madaHuo uwezo wa kujenga hoja watautoa wapi! Unafikiri Rage hakufikiri kwa kina pale alipowaita mbumbumbu? Hao wanajua kutukana tu.
Aliyekwambia mimi maskini ni nani?UNAAKILI TIMAMU KWELI????
UNAKAZA FUVU KISA UPUMBAVU WA SIMBA NA YANGA.
PAMBANA KUIOKOA FAMILIA YAKO NA WIMBI LA UMASIKINI.
Kwani Mwenyekiti wa zamani wa SimbaNyie ni mazuzu...hilo liko wazi Tateee..
Sisi hatuna habari nae labda nyie wafuasi wake... π π πKwani Mwenyekiti wa zamani wa Simba
Mzee Rage ashawahi kuomba radhi Kwa kuwaita mbumbumbu
Naona una wapiga spana tuu vidume kibao umevikalisha hapa,wengine wanaita back upWatani zangu haoo...π€£π€£π€£
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama wa SimbaSisi hatuna habari nae labda nyie wafuasi wake... π π π
Sawa na Waarabu wanawaitaje nyie UtopoloRage aliwaita mbumbumbu Wanachama wa Simba
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Kuna waarabu wenye akili wanacheza mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mamaSawa na Waarabu wanawaitaje nyie Utopolo
Nazingumzia waarabu hawa wenu wajuzi MC algers.Kuna waarabu wenye akili wanacheza mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama