TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

Tumetolewa kwenye group CAFCl ambayo nyie mbumbumbu hamkushiriki mlioenda umamani pamoja na Coast union,🤣
Mmetolewa na wababa?au so wababa Ndio wamebaki huko mlikotolewa
 
Una matatizo ya akili? Umelewa? Au umenifananisha?
Aiseeee...hii dunia ina watu wa ajabu sana wewe pancho dullar wa kunijibu hivi? Sawa sina akili. Nimelewa. Unadhani nitabishana nawe? Siwezi bishana nawe. Nakusitiri wewe mwananchi mwenzangu.ila haitapita week. Nitakukumbusha
 
Aiseeee...hii dunia ina watu wa ajabu sana wewe pancho dullar wa kunijibu hivi? Sawa sina akili. Nimelewa. Unadhani nitabishana nawe? Siwezi bishana nawe. Nakusitiri wewe mwananchi mwenzangu.ila haitapita week. Nitakukumbusha
Mmeanza kuitana Hamna akili 🤣🤣
 
Mmeanza kuitana Hamna akili 🤣🤣
We acha tu. Dogo kavurugwa hacheki na wowote. Anaturushia hata sisi ndugu zake mawe na matope. Hapo katakuwa kana njaa kapo jangwani pale kwenye jengo. Kenyewe kanapambana na simba tu 🤣🤣🤣🤣
 
Wanaobebwa hawapo kwenye mashindano ya kimataifa ,kelele hizi ni wivu tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
pancho dullar
Umejiunga jf lini mkuu? Hebu acha utoto mimi sio huyo unayemfananisha wote humu wananijua sasa nashangaa wewe huou upuuzi umeutolea wapi?

Nipo JWTZ makutupora sasa umenijulia wapi mkuu? Acha kunichafua sawa?
 
We acha tu. Dogo kavurugwa hacheki na wowote. Anaturushia hata sisi ndugu zake mawe na matope. Hapo katakuwa kana njaa kapo jangwani pale kwenye jengo. Kenyewe kanapambana na simba tu 🤣🤣🤣🤣
Nitakuripoti naona sasa umejificha kwenye kichaka cha uananchi

Mimi niko Dodoma huko dar jangwani nimefika lini? Acha utoto sawa mimi sio mwenzako wala hunijui sikujui yaani ndiyo nimekuona leo na wala sisi hatuna taarifa za wewe kuwa mwananchi hatukujui

Nakupa onyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…