Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Safi kabisa simba kuachana na ligi ya kihuniSIMBA HANA KOSA KWA SABABU MECHI IMEAHIRISHWA NA TFF.
HATA HAO TFF WENYEWE HAWAKWENDA UWANJANI ,MAREFA, NA MAAFISA WOTE WA MCHEZO HAWAKWENDA UWANJANI .
HAPO KIMSINGI SIMBA HAWEZI PEWA ADHABU YEYOTE.
NakubaliSIMBA HANA KOSA KWA SABABU MECHI IMEAHIRISHWA NA TFF.
HATA HAO TFF WENYEWE HAWAKWENDA UWANJANI ,MAREFA, NA MAAFISA WOTE WA MCHEZO HAWAKWENDA UWANJANI .
HAPO KIMSINGI SIMBA HAWEZI PEWA ADHABU YEYOTE.
Ulitaka akimbiwe na mkeoooooooooooooooMm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia simba wasifanye mazoezi ila Haji Manara amewadhalilisha sana na amesema muiteni mumfungie tena,.
Nitawashangaa sana mkimuachia huyu jamaa ambaye amekimbiwa na mkewe
ulipoharibu hapo manara kukimbiwa na mkewe au mke mwenyewe ni wewe?Mm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia simba wasifanye mazoezi ila Haji Manara amewadhalilisha sana na amesema muiteni mumfungie tena,.
Nitawashangaa sana mkimuachia huyu jamaa ambaye amekimbiwa na mkewe
Simba wanaadhibiwaje wakati TFF wenyewe kupitia TPLB wametoa press release ya kuahirishwa mechi... au hata hujui kinachoendelea mzee..Mm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia simba wasifanye mazoezi ila Haji Manara amewadhalilisha sana na amesema muiteni mumfungie tena,.
Nitawashangaa sana mkimuachia huyu jamaa ambaye amekimbiwa na mkewe
Kwahiyo Simba kususia mchezo ni maagizo ya wizara😀👐Matukio yote makubwa hapa nchini Mama anayatumia kupiga kampeni za kisias na hiyo derby isingeweza kufanyika bila yeye kuhudhuria.
TFF haijiendeshi tena bali inaendeshwa kwa maagizo ya wizara ya michezo.
Simba kosa lako ni kuahirisha mechi kabla ya tamko la bodi, bodi kosa lako ni kuahirisha mechi bila sababu ya msingi, Yanga wapo salama kwa maelezo ya bado hawakuwa na taarifa na ujio wa simba hivyo walikuwa sahihi kuwazuia. Yanga hawawezi kuwashtaki simba bali bodi ya ligiSIMBA HANA KOSA KWA SABABU MECHI IMEAHIRISHWA NA TFF.
HATA HAO TFF WENYEWE HAWAKWENDA UWANJANI ,MAREFA, NA MAAFISA WOTE WA MCHEZO HAWAKWENDA UWANJANI .
HAPO KIMSINGI SIMBA HAWEZI PEWA ADHABU YEYOTE.
Subiria hapo hapo mechi itapangiwa siku nyingine na yule mama atakuwa mgeni rasmi.Kwahiyo Simba kususia mchezo ni maagizo ya wizara😀👐
Kwahiyo unataka mama akafuniki uozo wa viongozi wa Simba na TFF siyo!Subiria hapo hapo mechi itapangiwa siku nyingine na yule mama atakuwa mgeni rasmi.
Kwahiyo unataka mama akafuniki uozo wa viongozi wa Simba na TFF siyo!Subiria hapo hapo mechi itapangiwa siku nyingine na yule mama atakuwa mgeni rasmi.