Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mm nawaza hili jambo lazima litatokea tu maana mpira wa bongo una changamoto za mda mrefu sana, yote kwa yote kwa vile wao wameshasema hawatacheza tena najua mtawapa pointi 3, lkn kubalansi mambo Yanga mtawaadhibu kwa kuwazuia simba wasifanye mazoezi ila Haji Manara amewadhalilisha sana na amesema muiteni mumfungie tena,.
Nitawashangaa sana mkimuachia huyu jamaa ambaye amekimbiwa na mkewe
Nitawashangaa sana mkimuachia huyu jamaa ambaye amekimbiwa na mkewe