TFF yajitenga na kauli ya Ndumbaro, yatoa hakikisho la usalama kwa timu zitakazokuja kwa ajili ya CAFCL na hakutakuwa na Ubaguzi kama ilivyodaiwa

Ni errors za kiuandikaji..... wewe umeandika.... ......will bot be used......
 
Ila kiingereza nacho! Sentensi zinatafsiriwa kutoka kiswahili na kuandikwa kwa maneno ya kiingereza!

Ndumbaro aliongea pumba sana na kusahau kuwa yeye ni kiongozi wa serikali, jambo linaloweza kufanya TFF ikumbane na kigingi kilichoikumba FKF ya Kenya
 
Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Haya mawazo sio ya kiungwana yanatakiwa yawe kichwani mwa janjaweed, Hamas, mossad, Taliban, Alkaida, ISISI N.k...

Hatapaswi kua kichwani mwa m TZ abadani..

Mpira Ni Upendo, furaha, afya, amani na kutaniana 😊😊😊😊😊

Nyinyi na litimu lenu na viongozi kama Ndumbaro WANAO jisahau tupo Karne 21 (FOOTBALL GLOBALIZATION) wanataka kuturudisha kwenye """"UJITUKABEJA""" 😊😊😊
 
Kilichopo Tanzania sasa hivi ni chuki, wala si utani wala Burudani.

Dawa ni hiyo tu, kinuke siku moja hapo Benjamin Mkapa vidondoke vichwa si chini 100 ndio ustaarabu utapatikana.

Na haya ndio madhara ya Simba na Yanga kutokuwa na viwanja vyao.
 
Kilichopo Tanzania sasa hivi ni chuki, wala si utani wala Burudani.

Dawa ni hiyo tu, kinuke siku moja hapo Benjamin Mkapa vidondoke vichwa si chini 100 ndio ustaarabu utapatikana.

Na haya ndio madhara ya Simba na Yanga kutokuwa na viwanja vyao.
Ni sahihi na ukweli mtupu nakubaliana na wewe..
 
Naimani hayata tokea ya kutokea vinginevyo ikitokea ya kutokea siku ya mechi ya yanga...

The Confederation of African Football (CAF) β€” a branch of FIFA β€” wata mu warned him against β€œmixing politics with sports”.
 
Kilichopo Tanzania sasa hivi ni chuki, wala si utani wala Burudani.

Dawa ni hiyo tu, kinuke siku moja hapo Benjamin Mkapa vidondoke vichwa si chini 100 ndio ustaarabu utapatikana.

Na haya ndio madhara ya Simba na Yanga kutokuwa na viwanja vyao.
Duh!
 
Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Huo sio uana mchezo. Mchezo sio kitu cha kukufikisha huko. Nani mchezo haumhusu? Hao usiowataka waingie wanalipia viingilio na kuongeza mapato.
Hata sijui inakuwaje mpaka u wish vifo vya watu kisa mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…