Kwenye maelezo yako umetaja habari ya upangaji wa matokeo! Cha kushangaza kwenye maelezo ya TFF, wametoa sababu nyingine kabisa.
 
Maelezo ya mweka mada na maelezo ya TFF ni tofauti kabisa!, kwa kuzingatia uhuru na ukweli wa habari nashauri huu uzi ufutwe ama urekebishwe kutokana na kile kilichoandikwa!.

kwenu moderators JamiiForums Active
 
Kwenye maelezo yako umetaja habari ya upangaji wa matokeo! Cha kushangaza kwenye maelezo ya TFF, wametoa sababu nyingine kabisa.

Maelezo ya mweka mada na maelezo ya TFF ni tofauti kabisa!, kwa kuzingatia uhuru na ukweli wa habari nashauri huu uzi ufutwe ama urekebishwe kutokana na kile kilichoandikwa!.

kwenu moderators JamiiForums Active
Para ya kwanza nimetoa taarifa nikaambatanisha na chanzo cha taarifa halafu nikatoa na maoni yangu. Kwani siruhusiwi kutoa maoni yangu kisa nimeleta taarifa?

 
Viongozi wa Yanga walikuwa wakiingia uwanjani ndo maana 5imba alofungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Reactions: Tui
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapa onyo kali Viongozi wa klabu ya Yanga kwa kosa la kuingia kwenye eneo la kuchezea (pitch area) katika mchezo uliowakutanisha Yanga dhidi ya Singida BS baada ya mchezo kukamilika.

Viongozi hao wa klabu ya Yanga walioingia uwanjani walisababisha kukosekana kwa utulivu wakati wa mahojiano ya mdhamini mwenye haki za matangazo ya runinga.

Chanzo Taarifa: mpenjatv

Najua mnawaogopa kwakuwa kuanzia TFF na nyie TPLB 99% yenu mpo katika Payroll ya GSM na mnaneemeka nao sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…